Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Ni kweli kabisa. Labda anataka amvue chupi mwendazake...Mkuu Samia anauwezo wa kuifuta hii kesi. Kama aliweza kufuta kesi alizozikuta za masheikh, rugemalira na wengine. Kwa nini hawezi kufuta hii ya mbowe?
Hapa hawezi kuchomoka