My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Hahahahahah...yaani safari hii ccm wamepatikanaCcm si wanajifanya vichwa ngumu. Wacha lisimame..ikiwezekana lirudi hata Dec 9, 1961 tuanze upya
Hahahahahah...yaani safari hii ccm wamepatikanaCcm si wanajifanya vichwa ngumu. Wacha lisimame..ikiwezekana lirudi hata Dec 9, 1961 tuanze upya
Hakika yeye ajua kila kitu haipaswi kumshauri chochote, yeye ni "baba ajuaye"Hapana.yeye Anajua kila kitu,wala haitaji ushauri
Kama ukipewa nafasi ya kumsaidia au kumshauri ni nini cha kumsaidia au kumshauri kwa upande wako
1.Aache ukibuli na majigambo kuanzia kwa wazungu na watoa misaada wa nchi hiiKama ukipewa nafasi ya kumsaidia au kumshauri ni nini cha kumsaidia au kumshauri kwa upande wako
Wameneemeka mkvndvni kwako auWaliostaki ni mafisadi tu Raia wanyonge wananeemeka
Huyo Nyerere wako yalimfika shingoni akajiuzulu. Huwezi kwenda tuuuu kama kichaa asiyepima anakoelekea. Madikteta wote duniani, hata akina Hitler walikuwa wanaambiwa na wapambe wao kuwa kila anayewapinga anatumwa au anataka kuwakwamisha.Nyerere alisema ukitaka kufanya jambo kubwa kwa Taifa lako usisikilize kelele kutoka nyuma yako
Utawasikia tu hao hao hao
We songa tu
Watazidi kupiga ukelele hao hao hao
We songa tu
Awataacha kupiga kelele hao hao hao
Ukigeuka nyuma utageuka jiwe na wao nia yao ni kukukwamisha na kisha kukucheka kiko wapi sasa
Dawa yao hakuna kumsikiliza mtu we piga kazi tu...
Ukweli ni kuwa hao hawawezi kusema chochote , wanapiga 80% ya actings. Wanaishi maisha ya peponi . Hawana shida haoHao wastaafu ndio wale walio kopa nssf?? Walio jimilikisha mali za nchi?? Waliobariki rushwa?? , waliokuwa wanajua jinsi ya kuishi na mwenyekiti wa maisha
Kwa upofu wako utaonaje ?!. Huyo mleta hoja ni mfuasi wa Jiwe. Mfuatilie utaonaEmbu orodhesha kimoja baada yakingine ambacho umekiona hakiendi sawa
Kwingine kote nimekuelewa ila hapo "we have got nothing to loose" Fikiria vizuri mzee baba .]Acha ahujumiwe,malipo ni hapa hapa Duniani,yeye kahujumu roho ngapi za watu?
1.Yuko wapi Mawazo?
2.Yuko wapi Azori?
3.Yuko wapi Saanane?
4.Yuko wapi Daniel?
5.Yuko wapi Eric?
6.Yuko wapi Akwilina?
7.Yuko wapi Kanguye?
8.Kosa la Tundu Lissu ni lipi?
9.Kosa la Mbowe na Esther ni lipi?
Unaleta topic ya kumsikitikia muuaji mkubwa huyo, acha nchi izame na ipotee kabisa,we have nothing to loss,tumechoka sasa.