Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,705
- 4,738
Ni Uhuru Kenyatta pekee akiwa pamoja na kinara wa upinzani wa kenya RAO ndio waliohudhuria kuapishwa kwa raisi wa DRC Felix Tshesekedi.
je, maraisi wengi wa afrika hawakufurahishwa na ushindi huo? Huku kunatia tashwishwi support ya Afrika huru katika nchi zinazojaribu kujiendesha kidemokrasia.
Je, Kuna maslahi binafsi ambayo nchi hizi ziliyatarajia na sasa zimeona hayatimilizki?
Mbali na kualikwa wakuu wa nchi zaidi ya 17, sijaona hata majirani wa karibu kuhudhuria aghalabu kutuma ujumbe wa maana wa uwakilishi. Tanzania, Uganda, Zambia na Rwanda kwa uchache hakuna rais aliyehudhuria.
Binafsi sidhani kama ni picha nzuri, ukizingatia ni mara ya kwanza kwa DRC kuwa na uchaguzi wa kidemokrasia na Kabila kuachia madaraka kwa unyoofu.,,ni swala la kupongezwa sana hata kama kuna mapungufu yaliyojitokeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
je, maraisi wengi wa afrika hawakufurahishwa na ushindi huo? Huku kunatia tashwishwi support ya Afrika huru katika nchi zinazojaribu kujiendesha kidemokrasia.
Je, Kuna maslahi binafsi ambayo nchi hizi ziliyatarajia na sasa zimeona hayatimilizki?
Mbali na kualikwa wakuu wa nchi zaidi ya 17, sijaona hata majirani wa karibu kuhudhuria aghalabu kutuma ujumbe wa maana wa uwakilishi. Tanzania, Uganda, Zambia na Rwanda kwa uchache hakuna rais aliyehudhuria.
Binafsi sidhani kama ni picha nzuri, ukizingatia ni mara ya kwanza kwa DRC kuwa na uchaguzi wa kidemokrasia na Kabila kuachia madaraka kwa unyoofu.,,ni swala la kupongezwa sana hata kama kuna mapungufu yaliyojitokeza.
Sent using Jamii Forums mobile app