Marais 3 wameongoza kwa kuegemea sana sekta walizotoka; Napendekeza Rais ajaye atokee Wizara/sekta ya Kilimo

Kabulala

JF-Expert Member
Oct 13, 2019
695
935
Hello Everyone!

Ninaamini wengi wenu mtakubaliana na Mimi kuwa Marais Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli wameonekana kufanya vizuri zaidi kwenye masuala ambayo walishughulika nayo kabla hawajainuliwa na kuwa Viongozi wa Nchi, Mkapa alikua MTU wa Press na Foreign affairs.

Tuliona alivyo engage Sana wageni katika uwekezaji (hotuba pia zilikua hot). Akaja JKikwete tokea Foreign affairs, Akatutangaza dunia mzima(some argue that he spent between 20-30percent of his Tenure Taking/introducing Tanzania to the Globe. Na sasa tunaye Mbobezi wa Miundombinu Rais Magu.

He needs no introduction, anaendeleza mipango mikubwa ya infrastructure tokea Sekta ya Ujenzi na miundombinu.
Kwa kufuata mtiririko huu.

Napendekeza SASA kama Taifa tuandae Mkulima au MTU mwenye experience ya Kilimo/Wizara ya kilimo na ambaye Yuko active katika Kilimo ili atuongoze Kwa style niliyoitaja hapo juu.

Kwa mbinu hii UTI WA MGONGO wa Taifa letu utapata attention na tiba inayostahiki. Na ili tusonge vizuri PM Atokee viwanda na Biashara.

Note: Mkapa spent many years in one Department before ascending, Kikwete spent 10years at Foreign, Magu spent a whopping 17years at the ministry of infrastructure so yaliyotokea na yanayotokea sio Kwa bahati mbaya.

Next tuweke kutokea Kilimo na PM wa Viwanda na Biashara na Tanzania itakuwa Vava Voom!
 
Wanafanya tu mepesa Raisi wakusimamia 'Green revolution' au 'industrial revolution' in Tz lazima awe 'smart in Brain' na exposure with economic exprience ya maendeleo.....sio huyu hawazi zaidi ya barabara na madaraja na flyover jambo ambalo na rahisi mtu yoyote analiweza, ni kuhamisha tu pesa kutoka sector moja kuenda sector jingine, hakutafuta vyanzo vingine vya mapato,
 
Namshukuru Rais wangu magufuri,nimetoka mahabusu kwa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji pesa,nimeomba yaishe nipo Free Sasa,big up magufuri
 
.....sio huyu hawazi zaidi ya barabara na madaraja na flyover jambo ambalo na rahisi mtu yoyote analiweza, ni kuhamisha tu pesa kutoka sector moja kuenda sector jingine, hakutafuta vyanzo vingine vya mapato,

AISEE WALLAH CHUKI HAIIHITAJI SABABU MARA NTINGINE KUMBE!
 
Andiko lako ni zuri sana.
Nadhani hatuhitaji kusubiri JPM atoke ndipo Agri-production iweze ku-peak.

Tukae na JPM huyu huyu ili kuona namna gani kinatoka kwenye subsistence farming and kwenda kwenye industrial/commercial farming au kama subsistence farming iendelee ila tutengeneze industrial farmers.

JPM several times kwenye hotuba zake haata juzi akiwa na mkutano na mawaziri wa nje wa Afrika na nchi za Nordic alisema ni wakati umefika kwa Afrika ku-produce, ku-process and ku-export final products.

JPM kajenga barabara kama waziri wakati wa Rais Mkapa na Rais Kikwete.

Tumtumie vema JPM maana ana asset kubwa ya ku-dare, na kuwa decisive kwenye critical issue.

KILIMO biashara ni critical agenda of the day. Wizara ya KILIMO ishirikiane na agro-project designers ili ku-boost agro exports ambayo itaingiza forex more than ever before wakati huo huo kupunguza imports ya kile kinazalishwa ndani.

Kilimo-biashara kitainuka kwa haraka hata sasa sio kwa policies tu; ila kwa ku-adopt right strategies.

Tuna very good written policies ila vita ya kuinua uchumi ni kama vita nyingine we need strategic thinking kwa kuanzia na strategic implementation.

Nchi ndogo kwa size kama Israel, Netherlands au New Zealand wana-maximize production kwenye kilimo-biashara kwa kuwa kilimo ni tool ya kuingiza forex na kukuza ajira.

Mara kadhaa jukwaani hapa nimetoaga ushauri kuwa wapo Watanzania ambao tuki-tap miradi ya kimkakati na kuwekeza, tutatoza wana bodi.

Dah... anyway. Ipo siku
 
Magufuli akimaliza sekta ya usafiri, nishati na viwanda atageukia kilimo kwa 100%

Tuendelee kumuombea Mungu ampe afya njema
Tusisubiri amalize; twende na vyote.

Muda ni un redeemed asset. Kwa asset za humu humu na kumtumia visionary kama Rais wa sasa wa AfDB we can accomplish a lot.
Mlio karibu na mzee, mshaurini asi rely kwa akili za wateule pekee walio chini yake, afikirie hata kufanya kazi na watu out of Government settings; investment models ambazo zikionekana kuwa workable anaweza kuzifanya zikawa prototype kwenye maeneo mengine nchini.

Now is the time to have collaboration efforts kukuza uchumi kwa haraka ili Tanzania ifaidike na exports ya finished products za coffee, tea, sisal, Cashewnut, beef, leather, milk...
Suala gumu kuliko uwekezaji wa kukuza kilimo-biashara ni red tapes za kuwafikia right decisions makers on time
 
Tusisubiri amalize; twende na vyote.

Muda ni un redeemed asset. Kwa asset za humu humu na kumtumia visionary kama Rais wa sasa wa AfDB we can accomplish a lot.
Mlio karibu na mzee, mshaurini asi rely kwa akili za wateule pekee walio chini yake, afikirie hata kufanya kazi na watu out of Government settings; investment models ambazo zikionekana kuwa workable anaweza kuzifanya zikawa prototype kwenye maeneo mengine nchini.

Now is the time to have collaboration efforts kukuza uchumi kwa haraka ili Tanzania ifaidike na exports ya finished products za coffee, tea, sisal, Cashewnut, beef, leather, milk...
Suala gumu kuliko uwekezaji wa kukuza kilimo-biashara ni red tapes za kuwafikia right decisions makers on time
Kama resources zipo ni vizuri afanye vyote.. otherwise akamilishe one project to the other..asije akawa na rundo la miradi na yote isimalizike... sababu ya kupendekeza MTU wa Kilimo kuwa next leader ni kutokana na trend niliyoiona Kwa Marais waliotangulia na aliyepo..as the country Kilimo akijawa explored to the maximum..tukipata agricultural enthusiast itasaidia Sana.
 
Tusisubiri amalize; twende na vyote.

Muda ni un redeemed asset. Kwa asset za humu humu na kumtumia visionary kama Rais wa sasa wa AfDB we can accomplish a lot.
Mlio karibu na mzee, mshaurini asi rely kwa akili za wateule pekee walio chini yake, afikirie hata kufanya kazi na watu out of Government settings; investment models ambazo zikionekana kuwa workable anaweza kuzifanya zikawa prototype kwenye maeneo mengine nchini.

Now is the time to have collaboration efforts kukuza uchumi kwa haraka ili Tanzania ifaidike na exports ya finished products za coffee, tea, sisal, Cashewnut, beef, leather, milk...
Suala gumu kuliko uwekezaji wa kukuza kilimo-biashara ni red tapes za kuwafikia right decisions makers on time
Kwa kanda za nchi za SADC na EAC Tanzania inaweza kuwa ndiyo ghala kuu la chakula katika ukanda wote uwo, ivyo nasi tunaomba serikali ishirikiane na asasi za kiraia zilizopo nchini pamoja na wadau wenye ubobezi katika maswala ya kilimo ambao wako nje ya mifumo ya serikali, kwa kushirikiana nao na kuwapa ruzuku basi najua neema itakuwa kubwa sana,
 
Back
Top Bottom