fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
- Thread starter
- #41
Tuliza kipochi icho unajua ndoa wewe au ndo midada ya mjini kazi kusindikiz wenzenu kufanya shopping wivu utwauwa u mwaka na picha nitaweka watu tuna 15 years unapayuka kama umekunywa maji ya chooniNdoa mpya na hapo unajiona utadumu hivohivo hutokuja kubadilika siyo? Uliza kwanza acha pupa