Munru JF-Expert Member Oct 19, 2010 1,340 664 Jun 18, 2012 #1 katika pita pita zangu kwenye mtandao nimekutana na hii picha , imeniachia mawaswali kibao, wandugu, bajeti immepita na salary bado anatambaa, tutafika kweli ??????
katika pita pita zangu kwenye mtandao nimekutana na hii picha , imeniachia mawaswali kibao, wandugu, bajeti immepita na salary bado anatambaa, tutafika kweli ??????
ruhi JF-Expert Member Feb 26, 2012 3,733 5,399 Jun 18, 2012 #2 wananchi wa mikoa ya kati(dodoma,morogoro,singida) wakibadilika salary itakua,nawe pia badilika tuuwe ccm haraka
wananchi wa mikoa ya kati(dodoma,morogoro,singida) wakibadilika salary itakua,nawe pia badilika tuuwe ccm haraka
gfsonwin JF-Expert Member Apr 12, 2012 18,274 20,673 Jun 18, 2012 #3 duh! sitaki hata kuyawaza haya manake yatia hasira
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Jun 18, 2012 #4 mchawi ni ccm pamoja na juha kalulu mwigulu
Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Jun 18, 2012 #5 Kama mtu mpaka leo anaishi kwenye TEMBE unategemea mabadiliko kwa huyu mtu??! Labda umfanyie upasuji wa :A S new: ubongo:A S-confused1: ruhi said: wananchi wa mikoa ya kati(dodoma,morogoro,singida) wakibadilika salary itakua,nawe pia badilika tuuwe ccm haraka Click to expand...
Kama mtu mpaka leo anaishi kwenye TEMBE unategemea mabadiliko kwa huyu mtu??! Labda umfanyie upasuji wa :A S new: ubongo:A S-confused1: ruhi said: wananchi wa mikoa ya kati(dodoma,morogoro,singida) wakibadilika salary itakua,nawe pia badilika tuuwe ccm haraka Click to expand...
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jun 19, 2012 #7 Unfortunately salary kazaliwa andunje.....
Munru JF-Expert Member Oct 19, 2010 1,340 664 Jun 19, 2012 Thread starter #8 MadameX said: Unfortunately salary kazaliwa andunje..... Click to expand... yuuuuuuuuuuu<, ina bidi tumtie homonie akue haraka. we need to restructure the system
MadameX said: Unfortunately salary kazaliwa andunje..... Click to expand... yuuuuuuuuuuu<, ina bidi tumtie homonie akue haraka. we need to restructure the system
Tayana-wog JF-Expert Member Feb 26, 2012 23,138 26,637 Jun 19, 2012 #9 aaahh griiiiiiiiii.....hii nchi ingekuwa daladala ningeshashuka sikunyingi!