Marafiki watamwangusha.

Nikukumbushe

JF-Expert Member
Jun 4, 2013
2,602
408
Huwezi kujiita msafi wakati marafiki zako sio wasafi. Wanasema,ukitaka kujua tabia ya mtu angalia marafiki zake. Mtu mwenye nia ya dhati hupimwa kwa kauli na matendo yake.

Yeye hana kauli ya kukemea maovu yanayoendelea hapa nchini. Hivi ana msimamo gani? Baya ama zuri kwake poa tu. Halafu bado wanasema rais mtarajiwa,kwa vipi? Hatuwezi kuongozwa na bubu. Hana msimamo,hata kama ni uvumilivu wa kisiasa,mmmh hapana. Huu ukimya hauna maana kwa watz. Hauna msaada.

Hajawahi kuongea round building tangu akumbwe na dhahama za kisiasa. Kwake yeye yafuatayo ni poa tu.

1.migogoro ya wakulima na wafugaji. Ikiwemo kilosa,ngorongoro,kiteto nk

2.Escrow na ufisadi mwingine.

3. Uchakachuaji wa maoni ya wananchi. Hana neno la kutia. Yupo kama bendera fuata upepo. Eti tunamtaka awe rais. Ni aibu kuwa na rais asiweza kukemea hata mambo madogo kama haya. Nchi ataiweza? Kuthubutu tu kashindwa. Akipewa nchi ataweza?

4.Migomo ya madereva na madaktari.

5.Umaskini uliokithiri. Huku tukiambiwa safari ya matumaini,aibu. Safari ya matumaini inatofauti gani na maisha bora kwa kila mtanzania?

6.Migomo vyuo vikuu. Halafu bado wanasema alijenga shule za kata.

Pia,wanamwita mzee wa safari ya matumaini ili kuwapatia watz elimu bure. Kwa migomo hii? Hii ni kauli tu,haina maana yoyote. Kama hana uwezo wa kutoa kauli ya migomo inayoendelea nchini.je safari ya matumaini ataiweza?

Nahitimisha kwa kusema kuwa,muda wa kuwadanganya watz ulishapita. Maswaiba wako hatuwaamini,hatuwataki na hawana record nzuri. Mrisho mpoto aliwahi kusema,kama unakula vichafu nzi hawawezi kuacha kukufuata.

Watanzania tutafakari na kejeli hizi.
 
Huwezi kujiita msafi wakati marafiki zako sio wasafi. Wanasema,ukitaka kujua tabia ya mtu angalia marafiki zake. Mtu mwenye nia ya dhati hupimwa kwa kauli na matendo yake.
Yeye hana kauli ya kukemea maovu yanayoendelea hapa nchini. Hivi ana msimamo gani? Baya ama zuri kwake poa tu. Halafu bado wanasema rais mtarajiwa,kwa vipi? Hatuwezi kuongozwa na bubu. Hana msimamo,hata kama ni uvumilivu wa kisiasa,mmmh hapana. Huu ukimya hauna maana kwa watz. Hauna msaada.
Hajawahi kuongea round building tangu akumbwe na dhahama za kisiasa. Kwake yeye yafuatayo ni poa tu.
1.migogoro ya wakulima na wafugaji. Ikiwemo kilosa,ngorongoro,kiteto nk
2.Escrow na ufisadi mwingine.
3. Uchakachuaji wa maoni ya wananchi. Hana neno la kutia. Yupo kama bendera fuata upepo. Eti tunamtaka awe rais. Ni aibu kuwa na rais asiweza kukemea hata mambo madogo kama haya. Nchi ataiweza? Kuthubutu tu kashindwa. Akipewa nchi ataweza?
4.Migomo ya madereva na madaktari.
5.Umaskini uliokithiri. Huku tukiambiwa safari ya matumaini,aibu. Safari ya matumaini inatofauti gani na maisha bora kwa kila mtanzania?
6.Migomo vyuo vikuu. Halafu bado wanasema alijenga shule za kata. Pia,wanamwita mzee wa safari ya matumaini ili kuwapatia watz elimu bure. Kwa migomo hii? Hii ni kauli tu,haina maana yoyote. Kama hana uwezo wa kutoa kauli ya migomo inayoendelea nchini.je safari ya matumaini ataiweza?
Nahitimisha kwa kusema kuwa,muda wa kuwadanganya watz ulishapita. Maswaiba wako hatuwaamini,hatuwataki na hawana record nzuri. Mrisho mpoto aliwahi kusema,kama unakula vichafu nzi hawawezi kuacha kukufuata.
Watz tutafakari na kejeli hizi.

Alisha anguka kabla ya marafiki zake kufika eneo la tukio .
 
Huyu mtu ni mnafiki tu. Ukimya wake ni kuficha uchafu wake. Ni lipi katika hayo uliyoyataja atakalojaribu kulikemea ambalo halita backfire?

Amkemee nani wakati nayeye ni muhusikka? Mchakato wakatiba hakuwa upande wa uchakachuaji? Leo amkemee nani?

Ataanzaje kufungua kinywa juu ya ufisadi wa escrow wakati watu wote wanajua yeye na rafiki yake wameibia taifa mabilioni kwa ufisadi wa Richmond? Atathubutu kukemea ufisadi mafisadi wasimnyamazishe milele?

Migogoro anaisolve vipi wakati hana kipaji wala uwezo? Migogoro yote chanzo chake ni utawala mbovu na ufisadi mfumo unaoshikilia uwepo wake na ndoto zake za uraisi. Ataanzaje kuutikisa mfumo unaombeba? Kwanza ana moral authority ipi kukemea uovu ambao anajua unafanyika ili aendelee kuwa kwenye orodha ya wahadaaji? Hao wanatengeneza migogoro wanafanya hivyo ili kulinlda mfumo wa usalama wa mafisadi na watawala ambao na yeye ni mmoja wao.

HUYU MTU UKIMYA WAKE USITAFSIRIWE KUWA NI HEKIMA, BALI NI MBINU MOJA KWA MOJA YA KUJIWEKA KANDO NA MASHAMBULIZI YA HAKI DHIDI YAKE AMBAYO KAMA YATATOKA KWA WASHIRIKA WENZAKE, SIJUI KAMA ANA AFYA YA KUSTAHIMILI. LAKINI PIA HANA UWEZO NIA WALA UELEWA WA KIPI HASA NI SAHIHI KWA SABBU TANGU AKIWA WAZIRI MKUBWA HAJAWAHI KUWA BRILLIANT WALA EFFECTIVE KWA LOLOTE ZAIDI YA BORA LIENDE.
 
Ukimya ni kuficha upumbavu. Big up kamanda.
Huyu mtu ni mnafiki tu. Ukimya wake ni kuficha uchafu wake. Ni lipi katika hayo uliyoyataja atakalojaribu kulikemea ambalo halita backfire?

Amkemee nani wakati nayeye ni muhusikka? Mchakato wakatiba hakuwa upande wa uchakachuaji? Leo amkemee nani?

Ataanzaje kufungua kinywa juu ya ufisadi wa escrow wakati watu wote wanajua yeye na rafiki yake wameibia taifa mabilioni kwa ufisadi wa Richmond? Atathubutu kukemea ufisadi mafisadi wasimnyamazishe milele?

Migogoro anaisolve vipi wakati hana kipaji wala uwezo? Migogoro yote chanzo chake ni utawala mbovu na ufisadi mfumo unaoshikilia uwepo wake na ndoto zake za uraisi. Ataanzaje kuutikisa mfumo unaombeba? Kwanza ana moral authority ipi kukemea uovu ambao anajua unafanyika ili aendelee kuwa kwenye orodha ya wahadaaji? Hao wanatengeneza migogoro wanafanya hivyo ili kulinlda mfumo wa usalama wa mafisadi na watawala ambao na yeye ni mmoja wao.

HUYU MTU UKIMYA WAKE USITAFSIRIWE KUWA NI HEKIMA, BALI NI MBINU MOJA KWA MOJA YA KUJIWEKA KANDO NA MASHAMBULIZI YA HAKI DHIDI YAKE AMBAYO KAMA YATATOKA KWA WASHIRIKA WENZAKE, SIJUI KAMA ANA AFYA YA KUSTAHIMILI. LAKINI PIA HANA UWEZO NIA WALA UELEWA WA KIPI HASA NI SAHIHI KWA SABBU TANGU AKIWA WAZIRI MKUBWA HAJAWAHI KUWA BRILLIANT WALA EFFECTIVE KWA LOLOTE ZAIDI YA BORA LIENDE.
 
Ndio ukweli! Uchafu huambatana na uchafu,mwizi huambatana na mwizi,fisadi huambatana na fisadi,mchawi huwa na marafiki wachawi,mvuta bangi huambatana na wavuta bangi wenzake,over!
tell me yur friend I will tel yu who yur.
 
Back
Top Bottom