Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Gari hili limepata ajali huko nchini Nigeria, ndani yake wamekufa marafiki wanne ambao walikuwa wametoka night club nchini hum. Miili ya marehemu imepelekwa mochwari ya hospitali ya Igando. Gari la ajali hiyo pia limepelekwa kituo cha polisi cha Ikotuni. R.I.P marehemu wote.