Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,028
- Thread starter
- #41
Nitashiriki kwa njia ya SKYPE pia mkuu...!
Karibu sana Michelle.
Ungefika British Council ingekuwa rahisi kukutambua kwa Avatar yako . . .
Haaaa haaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitashiriki kwa njia ya SKYPE pia mkuu...!
...pamoja sana brother sanctus..!nilichanganya majina kidogo.
lazima nishiriki kwa mapenzi ya mungu.
Suzie Vinega ni akina nani na kwa nini tuwaalike kutuburudisha?
Hebu tupe mawazo yako zaidi.
Vinega ni wanaubongo fleva wanaopigania maslai yao ya Mziki ambayo kwa imani yao Cloudz Medias imewaparaganya
Mtsimbe/Max
Natoa wito ikiwezekana hii Auditorium Fees ya TZS 630,000 iwe outsourced kwa members watakaokuwa tayari kuchangia, ili members wengine waje bure. Natoa angalizo tuu kuwaambia members wakifika 100 ndio mchango utakuwa TZS 6,300, mpaka sasa walioconfirm hawafiki 30!, lets asume leo wataconfirm wengine 20!, hivyo watafika 50, kwahiyo contribution itakuwa TZS 12,600 and above!. Nasisitiza suala la mchango hata wa lets say 10,000 zitumwe kwako/max kwa M-PESA/Z-PESA/TIGO-PESA au AIRTEL PESA ili kiwe ndio kipimo cha commitment ya kuhudhuria, inawezekana wengi walisema wangehudhuria kutokana na machungu tuu ya kuondokewa as days go by machungu yanapungua!.
add mi there
nitafika navopenda pizaAsante Mkuu Smile.
Utashiriki vipi? Utafika au kwa Skype?
nitafika navopenda piza
Sanctus,
Ahsante kwa kuendelea kuisimamia hii thread. Jina la WoS sijaliona na wala la Mwita Maranya au Fidel80
Pasco,
Ushauri mzuri.
Naruhusiwa kuhudhuria as an observer?
nitakuja nao usjali. ni mida gani kwanza maana kesho siku ya kazi mkuuMkuu, mimi sina makubwa Veggie Pizza inanitosha. Coke: Medium size.
Tafadhali usinisahau.
Wadau wako wa MMU wako wapi? Hebu watafute uje nao Mkuu.
Wana JF;
Gharama za Ukumbi:
Auditorium Fees ni TZS 630,000. Vinywaji na Bites kwa watakaohitaji vitanunuliwa siku hiyo hiyo kutokana na utakachopenda kuagiza kutoka Steers. Mchango kwa sasa hatujui ni kiasi gani, ila ni vema mchango wako usaidie kurudisha gharama za ukumbi. Mfano kama wakija watu 100, then kila mtu atatoa mchango wa 630,000/100 au TZS 6300. kama idadi itaongezeka amount itapungua na kama idadi itakuwa ndogo amaount itaongezeka.
nitakuja nao usjali. ni mida gani kwanza maana kesho siku ya kazi mkuu
Muda:
Saa 11.00 - 1.00 Jioni - "Marafiki Wa Regia" Meeting.
Agenda: "Regia alisimamia nini na Nini Kifanyike Baada ya Regia Kututoka"
Saa 1.00 - Saa 3 Usiku - "Marafiki wa JF Meeting".
madam mi mwenyewe kinega ntakuako so haina haja!!!!TuwaalLike vinega waje watuburudishe
Usijali mkuu wangu, wewe njoo tu. Mwanzo mgumu lakini tukishakaa kwa mara ya kwanza mikutano mingine kwa wale wa Dar itafanyika kwa mtindo utakaopendekezwa hiyo kesho.Ninasema hivi maana najua kuchanhishana usawa huu itakuwa tunashikana ugomvi na hata mtu akitoa ni kwa manung'uniko.....unaweza kuona huo mchango ni mdogo kwako lakini ni fedha nyingi tu wakuu....
nitakuja nao usjali. ni mida gani kwanza maana kesho siku ya kazi mkuu