Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
yaani kuna watu wako serious kweli yaani hawana hata muda wa kuwawowa wake zao eti wanaganga njaa, khah!
Maega, katika hao wanaolala na njaa wewe umelisha wangapi? kwani kama kuna wanaolala na njaa mtu usipumzike? hata vidole havilingani? tunafanya mambo kutokana na nafasi na uwezo, hatuwafanyii kazi hao walala njaa. kama hamna kitu cha kumshauri si mnyamaze.