Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,014
- 1,498
- Thread starter
- #21
kaka acha jazba, ukiwa mgonjwa haliyakuwa unapesa unafarijika sana maana chochote utakacho unapata kinachobaki kupambania ni uzima wako tu, ila ukikosa pesa kila kitu kinakuwa tatizo kwako si kula si kuvaa, si tiba si faraja vyote unavikosa unaweza kujikuta unaugua magonjwa yasiyo na tiba kwasababu kila ukipimwa hautambuliki ugonjwa gani hasa unaugua, hata wale wanaoamua kujidhuru wenyewe, kujinyonga au kujiua kwa njia nyingine mbalimbali wengi wao ni wale waliokumbana na shida ya pesa.
Kabla ya kuruhusu huu mjadala kwenda mbali,hebu utuambie kwanza mpaka hapo ulipofikia, umeumwa maradhi mangapi/ ya aina gani hapo kabla?
Siku ukitembelea zile Hospitali kubwa kubwa za wagonjwa wa afya ya akili, wagonjwa kisukari, kansa, nk. Utakuja kuomba radhi. Yaani umeishiwa kidogo tu ndiyo ulinganishe hiyo hali yako na maradhi!!
Huwezi hata kupiga mizinga na kuishi kwa mission town kama wajanja wengine wa mjini!! 😇