Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,617
- 24,046
Asante mkuu ......nipen mbinuPole xna mkuuu
Asante mkuu ......nipen mbinuPole xna mkuuu
Kutongozwa je?Dah....yaani hadi Leo sijawahi kutongoza,🤭
ni bora mzigo unakula mkuuNilianza kuyajua mapenzi kwa kutupiwa voko na montress wa darasa inshort nilikuw na urafiki nae wa karb sana mpaka ikawa hivyo enzi hizo nipo Mkoa x shule ya msingi Puma bana wewe aisee kwanza ilikuwa na bata yaan mimi alikuwa akitoka monitor anafata montress ndo nafata mimi maana monitor pia alikuwa mwanangu hivyo maswala ya kwenda kulima mashamba ya shule (kwa mliosoma kijijin mnaelewa) kufanya usafi wa darasa sikuwepo kabisa yaan tunaweza tukawa tunapiga kelele mimi na wewe ila adhabu utakula peke yako...
Saiv yule bint Yupo Chuo fulan hiv ila mzigo kama kawa nakula japo wenyewe public tunajulikana kama BFF 😁😁😁
🤣🤣🤣🤣Nakumbuka nikiwa darasa la nne kulikuwa na wadada wawili marafiki sana walioshibana sasa kila mmoja akawa ananitaka ki mpango wake, na shule nilijulikana kwa vitu viwili, 1.Kuchelewa 2. na kushika namba moja kwa kila mtihani mpaka namaliza darasa la 7,
Basi wale wadada walikuwa wamenizidi madarasa mawili ila kiumri nilikuwa nimewazidi maana nilichelewa kuanza shule kisa kamali za karata (chafu tatu)
So siku moja kila mmoja akanifuata ki mpango wake kwa kuniambia anatamani tuwe wapenzi tena kwa kunipa vijisent
Me kutokana na ushamba harafu ndio mara yangu ya kwanza nikawa naogopa nikawa nawakwepa, wakiandika barua wakizituma sijibu, ikatokea siku moja mwanafunzi wa shuleni akafariki basi tukatawanyishwa mapema na njia ya kwenda home ilikuwa lazima upitie msitu wa secondary furani hivi, mmoja wa wale mademu akanifuata nyuma nyuma nilipofika kwa ule msitu nilikuwa peke yangu akanishika mkono akaanza kunikumbatia mara busu za lazima akanivuta mstuni ndani akavua nguo ile namuona uchi wake aisee nilikimbia mbio naogopa,
Rafiki yake alipofahamu kilicho tokea walizibuana wakawa maadui mpaka kwa wazazi maana waliishi karibu karibu.
Mpaka leo hii ukubwani tukikutana wananisimanga kuwa me domo zege,
mmoja amesha olewa, mwezake ndo kahaba wa kujiuza kwenye majiji makubwa huko
🤣🤣🤣🤣Dah....yaani hadi Leo sijawahi kutongoza,🤭
Daaah nimecheka kifala sanaa.Aisee niliaibika saana maana nlikariri maneno mengii mazuriiiii... Nkawa nayarudia kila mara ili nkifika nishuke nayo Kama nguliii... Yaani nlivo muita tukawa tunaangaliana huku akisubiri niongee... Aisee kichwani sikuwa nakumbuka hata neno mojaaa... Akili ikanijia nimuambie samahani tutaongea siku ingineee.. ile namwambia nkashangaa sautii haitokii yaani nikawa kama namnongoneza... Ikabidi nimpungie tu kwamba byeee
Kujua ngumi kote kule kumbe kushonana hajuiNi miaka kadhaa sasa imeshapita, wakati huo nipo kidato cha pili, shuleni kwetu akahamia mwalimu fulani wa kike kutoka Machame huko.......kuhamia kwake sio stori, stori ni binti yake aliyehamia nae.
Oliver alikuwa kidato cha tatu kanitangulia, mtoto wa kichaga alikuwa ni kisu balaa kila mmoja anajitahidi kwa kadri awezavyo kutupa vocal zake ili amnase Oliver, mi sikuwa na umaarufu wowote pale school, kucheza mpira sijui, darasani nilikuwa KILAZA mmoja mzuri tu, kwa hiyo sikuwa kwenye nafasi yyte ya kumshawishi nimgegede.
Ikaja bahati nzuri jumamosi moja amepita mitaa ya home akaniona akaja hadi pale, nyumbani tulikuwa na bustani kubwa tu iliyokuwa pia na miti ya matunda, akapenda zaidi Miwa, Tende na Mapera......nikasema hapahapa kaisha huyu, nikajipa kazi ya kila siku nabeba nampelekea, urafiki wetu si ndio ukaanzia hapo.
Shuleni muda wa mapumziko atanitafuta akinipata tunaenda darasani kwetu tunakaa wawili tu tunapiga stori nyiiiiiingi lakini kumtongoza nashindwa, rafiki zangu wakiniuliza kuhusu Oliver nawaambia nimeshapiga pale, habari zikavuma na mimi sasa nikaanza kupata umaarufu shuleni kwa kumgonga Supa staa Oliver.
Siku moja tuko wawili tu darasani (kumbe kuna watu huwa wanakuja kutuchungulia kujua tukibaki wawili huwa tunafanya nini) na siku hiyo mi nikawaza kuwa labda keshanielewa lakini anasubiri hadi nimwambie, na kumwambia ndio siwezi......nikaamua kwamba vitendo vitaongea tu na yeye ataeleweka.....
Siku hiyo ndio niliingia mlango wa kutokea......
Kwanza alishangaa namkumbatia, bado mshangao haujajiweka vizuri kichwani mwake nikawa nafanya juhudi kumlaza chini huku navuta sketi yake.......nilistukia kitu kama ubao mgumu umetua usoni, kumbe kanitandika kofi zito, wakati bado nyotanyota hazijaisha machoni akanikwida akanibamiza ukutani na kwa ghafla sana akaachia ngumi moja kali ikatua usoni, aisee Oliver alikuwa mbabe sana yule Mchaga.
Nikaona netiweka inapotea kwa haraka sana...
Nikajitutumua na mi kuachia ngumi nikawa mfupi mikono yangu haimfikii, akaachia ngumi nyingine nzito sana ikatua mdomoni, mdomo ukapasuka ukaanza kutoa damu, wakati nashangazwa na ile damu nikafanikiwa kutupa jicho dirishani nikaona wanafunzi wamejaa madirishani wanachungulia, wakati natafuta mbinu na mimi nioneshe ukakamavu kumbe nimekosea nikateleza.....chali yeye juu mimi chini.
Kanikaba kwenye koromeo pumzi haitoki nakung'utwa ngumi za uso, wanafunzi wanashangilia, uzalendo ukanishinda mwanaume nikapiga kelele hadi walimu wakaja kutuachanisha, hakuna aliyekuwa tayari kutaja sababu za ugomvi wetu, kwa hiyo tukajikuta wote tumepewa adhabu ya kufanana.
Aminini msiamini.....
Nimekuja kukutana na Oliver mwaka jana akiwa mrembo maradufu halafu ni mpole hana ubabe wake kama wa wakati ule, nikamgegeda kiulaini sana, japo nadhani wengi wenu mtakuwa mnazifahamu changamoto za baadhi ya hawa dada zetu wa kichaga kwenye kugegedana ni ZERO.
Aisee niliaibika saana maana nlikariri maneno mengii mazuriiiii... Nkawa nayarudia kila mara ili nkifika nishuke nayo Kama nguliii... Yaani nlivo muita tukawa tunaangaliana huku akisubiri niongee... Aisee kichwani sikuwa nakumbuka hata neno mojaaa... Akili ikanijia nimuambie samahani tutaongea siku ingineee.. ile namwambia nkashangaa sautii haitokii yaani nikawa kama namnongoneza... Ikabidi nimpungie tu kwamba byeee
MTU wa kwanza kuanza kumtongoza alikuwa mume wa MTU,nilitafuta namba ya simu kwa watu wake wa karibu...nikaanza chat nae alivyonitambua akajisogeza zaidi...haikuwa shida sana I just confessed to him.Yaan ilikuwa kama alikuwa anasubiri nitamke sikuzote...nakumbuka alinijibu tu haraka tuonane....aisee mbona baadae nikajikanda na maji ya moto yenye chumvi.Sikumtafuta tena,ila nilimpenda kiukweli uchu wake ulimponza
Alikuwa mwepesi mno, wakati namvua nguo alionesha hali fulani hivi ya wasiwasi na unyonge kama vile mfungwa anaenda kunyongwaKujua ngumi kote kule kumbe kushonana hajui
Kama nikutafute iviiUngekuwa mvulimivu mapigo yake ungeyazoea tu.