Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣 goma liliwaUmenikumbusha Shule ya msingi tulikua na dada mkuu pini ya maana kila mtu anashoboka mixer wakufunzi pia, sasa kidume ndo attempt yangu ya kwanza kutongoza na sijui niingie vp.
Nikamfata msela wangu kitaa yy aliacha skuli ili anipe maujanja, akaniambia ww mkonyeze tu ataelewa mchezo...Siku nimechelewa skuli kama ilivyo ada (Mchelewaji Maarufu) tukawa tumepigishwa magoti na madam mmoja mnoko kwl (RIP now) muda huo dada mkuu yupo pale, nikasema ndo chance hii kufanya mautundu yangu.
Nikamvizia kaniangalia tu nikamkonyeza, La haulaaa !!! muda nakonyeza na madam ndo anageuka, sijui alijua nimemkonyeza yy..aliamuru mateka wote waende huru akabaki na mm..Washua nilizikoga siku ile mpk nikasema ulaaniwe mdau kitaa huko ulipo, Baadae nimechill mida ya vipindi vya ziada nikapokea karatasi imeandikwa POLE.
Nikacheki imetoka wapi, kwa mchumba Dada mkuu...nikamwambia umeniponza, ila kuna kitu nilitaka nikwambie ila kwa bakora za leo naona Jau naweza kupata Double yake...akajibu siwezi kwenda kusema, Nikaandika I Love U...akajibu I love you too.
Kidume shangwe za kutosha, mtoto akasema alielewa kitambo, mambo ya perfomance yalinibeba sana, Likawa Goma langu mpk Secondary kwa utoto ule tunda liliwa tulivyoingia Secondary...ila Mwalimu mkuu aliniamshia pila alivyokuja kujua maana na yy goma alikua analitaka nusu anitimue shule mpk nikaleta mzazi.
Zama za Ujinga huwa najicheka sana.