Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Umenikumbusha Shule ya msingi tulikua na dada mkuu pini ya maana kila mtu anashoboka mixer wakufunzi pia, sasa kidume ndo attempt yangu ya kwanza kutongoza na sijui niingie vp.

Nikamfata msela wangu kitaa yy aliacha skuli ili anipe maujanja, akaniambia ww mkonyeze tu ataelewa mchezo...Siku nimechelewa skuli kama ilivyo ada (Mchelewaji Maarufu) tukawa tumepigishwa magoti na madam mmoja mnoko kwl (RIP now) muda huo dada mkuu yupo pale, nikasema ndo chance hii kufanya mautundu yangu.

Nikamvizia kaniangalia tu nikamkonyeza, La haulaaa !!! muda nakonyeza na madam ndo anageuka, sijui alijua nimemkonyeza yy..aliamuru mateka wote waende huru akabaki na mm..Washua nilizikoga siku ile mpk nikasema ulaaniwe mdau kitaa huko ulipo, Baadae nimechill mida ya vipindi vya ziada nikapokea karatasi imeandikwa POLE.

Nikacheki imetoka wapi, kwa mchumba Dada mkuu...nikamwambia umeniponza, ila kuna kitu nilitaka nikwambie ila kwa bakora za leo naona Jau naweza kupata Double yake...akajibu siwezi kwenda kusema, Nikaandika I Love U...akajibu I love you too.

Kidume shangwe za kutosha, mtoto akasema alielewa kitambo, mambo ya perfomance yalinibeba sana, Likawa Goma langu mpk Secondary kwa utoto ule tunda liliwa tulivyoingia Secondary...ila Mwalimu mkuu aliniamshia pila alivyokuja kujua maana na yy goma alikua analitaka nusu anitimue shule mpk nikaleta mzazi.

Zama za Ujinga huwa najicheka sana.
🤣🤣🤣 goma liliwa
 
Nilitongozwa kwa barua nikiwa kidato Cha tatu...
Na mwanadada mmoja hivi Mwenye jina la Jimbo moja huko USA maarufu kwa fukwe zake matata na mengine mengi...
Wiki nzima nilikuwa naitizama naisoma ile barua .. na ilinichukua wiki kuijibu..
Alikuwa Ni mwanamke wangu wa kwanza kumkiss aseh aseh aseh 😂
First love huwa Ni nyokoooo
Ukajikuta shah rukh khan
 
Mimi nilimwambia " sitaki kukudanganya sijui nakuona kwenye glass au silali ila kwa kifupi tu L nakupenda sana kutoka moyoni".Na Kweli nilikua nampenda yaani nikimuona tu nahisi raha ajabu ,nikimuona hata na ndugu zake wakiume roho inauma na wivu Kama nyegere.Hiyo nipo kidato cha tatu yeye cha pili.Kumuomba mbususu nilikua naona Kama ntamkosea heshima.Rafiki yake mmoja alishawahi kukaleta homu niko mwenyewe akakaacha chumbani kwangu sikukafanya chochote ,hata kukumbatia tu.Kwa kifupi zilishatokea chances nyingi sana za kukala tunda kimasihara nikashindwa mwenyewe.Kalienda Sweden katoto kangu kazuri ka Kinyambo.Hakika penzi la L lilinitoa jasho
N:B Hatukuwahi kufanya matusi .
🤣🤣🤣🤣🤣 hukumla pia mpaka anaena nchi za watu
 
MTU wa kwanza kuanza kumtongoza alikuwa mume wa MTU,nilitafuta namba ya simu kwa watu wake wa karibu...nikaanza chat nae alivyonitambua akajisogeza zaidi...haikuwa shida sana I just confessed to him.Yaan ilikuwa kama alikuwa anasubiri nitamke sikuzote...nakumbuka alinijibu tu haraka tuonane....aisee mbona baadae nikajikanda na maji ya moto yenye chumvi.Sikumtafuta tena,ila nilimpenda kiukweli uchu wake ulimponza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaah
 
MTU wa kwanza kuanza kumtongoza alikuwa mume wa MTU,nilitafuta namba ya simu kwa watu wake wa karibu...nikaanza chat nae alivyonitambua akajisogeza zaidi...haikuwa shida sana I just confessed to him.Yaan ilikuwa kama alikuwa anasubiri nitamke sikuzote...nakumbuka alinijibu tu haraka tuonane....aisee mbona baadae nikajikanda na maji ya moto yenye chumvi.Sikumtafuta tena,ila nilimpenda kiukweli uchu wake ulimponza
Aisee
 
MTU wa kwanza kuanza kumtongoza alikuwa mume wa MTU,nilitafuta namba ya simu kwa watu wake wa karibu...nikaanza chat nae alivyonitambua akajisogeza zaidi...haikuwa shida sana I just confessed to him.Yaan ilikuwa kama alikuwa anasubiri nitamke sikuzote...nakumbuka alinijibu tu haraka tuonane....aisee mbona baadae nikajikanda na maji ya moto yenye chumvi.Sikumtafuta tena,ila nilimpenda kiukweli uchu wake ulimponza
Duuh
 
Mara yangu ya kwanza kutongoza nilikuwa darasa la nne akaniambia nimwimbie wimbo fulani wa dunia.

Hahahaha aisee! Kwa kipindi kile nilikuwa sijui nyimbo hata moja ya dunia nilikuwa najua gospel tu.

Nikashindwa na mtoto akasepa ila utoto unachekesha sana.
Zamaani kutamu sana
 
Nilitongozwa kwa barua nikiwa kidato Cha tatu...
Na mwanadada mmoja hivi Mwenye jina la Jimbo moja huko USA maarufu kwa fukwe zake matata na mengine mengi...
Wiki nzima nilikuwa naitizama naisoma ile barua .. na ilinichukua wiki kuijibu..
Alikuwa Ni mwanamke wangu wa kwanza kumkiss aseh aseh aseh 😂
First love huwa Ni nyokoooo
Florida huyo 😝😝😝 jina tamu sana
 
Mi nilikuwa namvizia demu akitoka shule enzi anasoma jangwani...akipita kitaa mi naunga nae mpaka kwao..Cha ajabu siongei nae Domo linakuwa zito..hata Salam nashindwa toa..yaani ilikuwa kibubu bubu,kesho Tena hivyohivyo...MTOTO DORINE KWANINI LAKINI?!!!IPO SIKU NITAKUTAFUTA TU HATA KAMA UMEOLEWA NITAKUTAFUNA TU..
 
Mi nilikuwa namvizia demu akitoka shule enzi anasoma jangwani...akipita kitaa mi naunga nae mpaka kwao..Cha ajabu siongei nae Domo linakuwa zito..hata Salam nashindwa toa..yaani ilikuwa kibubu bubu,kesho Tena hivyohivyo...MTOTO DORINE KWANINI LAKINI?!!!IPO SIKU NITAKUTAFUTA TU HATA KAMA UMEOLEWA NITAKUTAFUNA TU..
🤣🤣🤣 daah
 
Nakumbuka nikiwa darasa la nne kulikuwa na wadada wawili marafiki sana walioshibana sasa kila mmoja akawa ananitaka ki mpango wake, na shule nilijulikana kwa vitu viwili, 1.Kuchelewa 2. na kushika namba moja kwa kila mtihani mpaka namaliza darasa la 7,

Basi wale wadada walikuwa wamenizidi madarasa mawili ila kiumri nilikuwa nimewazidi maana nilichelewa kuanza shule kisa kamali za karata (chafu tatu)
So siku moja kila mmoja akanifuata ki mpango wake kwa kuniambia anatamani tuwe wapenzi tena kwa kunipa vijisent

Me kutokana na ushamba harafu ndio mara yangu ya kwanza nikawa naogopa nikawa nawakwepa, wakiandika barua wakizituma sijibu, ikatokea siku moja mwanafunzi wa shuleni akafariki basi tukatawanyishwa mapema na njia ya kwenda home ilikuwa lazima upitie msitu wa secondary furani hivi, mmoja wa wale mademu akanifuata nyuma nyuma nilipofika kwa ule msitu nilikuwa peke yangu akanishika mkono akaanza kunikumbatia mara busu za lazima akanivuta mstuni ndani akavua nguo ile namuona uchi wake aisee nilikimbia mbio naogopa,

Rafiki yake alipofahamu kilicho tokea walizibuana wakawa maadui mpaka kwa wazazi maana waliishi karibu karibu.
Mpaka leo hii ukubwani tukikutana wananisimanga kuwa me domo zege,
mmoja amesha olewa, mwezake ndo kahaba wa kujiuza kwenye majiji makubwa huko
 
Back
Top Bottom