Kuna watu wanapoteza siku hizi, watu siku hizi hawanahizo hela za kupoteza. Ila kiukweli kabisa xmas nimepita barabarani nikaona sh 200 nikaiacha. Siwezi kuchukuliwa nyota kwa sh 200
Kuna watu wanapoteza siku hizi, watu siku hizi hawanahizo hela za kupoteza. Ila kiukweli kabisa xmas nimepita barabarani nikaona sh 200 nikaiacha. Siwezi kuchukuliwa nyota kwa sh 200
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.