Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Wengi tupo mjini na wengi tupo maneo ya karibia na mjini, kwa wale ambao Mama zetu wanahitaji msaada kwetu na tunajua fika kuwa tukituma pesa walipo wazazi/ mzazi inakuwa ni msaada sana kwao ebu swali hili linatuhusu, tujitafakari na tusikie wengi kama wameguswa na si ajabu kuanzia leo watachukua hatua.
Mara ya mwisho kumtumia mama yako pesa lini bila kuombwa?
Mara ya mwisho kumtumia mama yako pesa lini bila kuombwa?