Mara ya Mwisho kugombana ni lini?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,543
44,690
Me kiukweli hata sikumbuki mara ya Mwisho kugombana na binadamu mwenzangu Kwa sababu yoyote Ile. Nashangaa Sana kukuta watu WAKIGOMBANA ngumi na mateke. Sielewi hii kutoelewana inachangiwa na nini.. Sijui kwako mawanajf mwenzangu mara yako kugombana nini chanzo na ugomvi uliishaje? Naposema ugomvi Namaanisha ule WA kupigana ngumi kabisa WA kuzinguana kiasi kwamba hakuna WA kuwamua Kwa hio mnaonyeshana ubavu..raha Sana kutoana mchuzi.mara yako ya Mwisho lini? Au Jana tu UMETOKA kupigana?
 
Nilipigana na house girl mmoja hivi ambae umri wetu ni mmoja. Ilikuwa mwaka huu mwezi wa tano, chanzo kikiwa ni rafiki yangu wa damu. Tukio hilo lilinichafua sana na kushangaza watu, maana mie ni mpole na sina makuu na mtu. Kwa kweli sitasahau maishani mwangu na sitataka kuwa karibu na marafiki tena. Mwaka 2017 utakuwa ni mwaka wa mabadiliko kwangu, sihitaji rafiki yeyote aguse maisha yangu kwa namna yoyote ile. Nitabaki kuwa mimi kama mimi nikijenga ushirikiano wa kutosha na Mungu wangu pamoja na kazi yangu pekee. Yaliyotokea mwaka huu sihitaji yajirudie tena katika maisha yangu yaliyosalia chini ya jua.
 
Dah.... Mie kila wakati tukitaka kugemuka na dem wangu... Lazima tudundane kwanza.... ndiyo game inakuwa poa Sana...kwa raha zetu
 
Sijawahi kupigana ngumi maishani, ila kuudhika nikurushie neno la kukera nimefanya leo kwa boss wangu kanizingua nikamtolea mbovu. Roho kwatu!
Lazima tuheshimiane
 
Sijawahi kupigana ngumi maishani, ila kuudhika nikurushie neno la kukera nimefanya leo kwa boss wangu kanizingua nikamtolea mbovu. Roho kwatu!
Lazima tuheshimiane
Mbwai Mbwai wanasemaga.. Bampa to bampa heshima muhimu
 
Mbwai Mbwai wanasemaga.. Bampa to bampa heshima muhimu

Ujinga sipendi, unaniletea ujinga nakuletea wangu na mie mambo ya kunipa stress huku wewe una enjoy maisha hamna, nipenstress nikupe stress, niheshimu nikuheshimu. Ubosi kwa wanao, kazini tuko watu na manyonyo yetu na wenye ndevu zao tuheshimiane.
 
Tunagombana na wife hapa hataki nimguse kisa tangu nimempandia kinenan jana mida ya saa nne usiku sikushuka hadi saa tisa, eti yawaka moto na mie bado nataka
 
Back
Top Bottom