Mara ya kwanza kukutana na CEO Barbara alikuwa na chupa ya Mo Energy

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,189
103,710
Barbara Gonzalez, alizaliwa jijini Dar es Salaam miaka kadhaa iliyopita, baba yake akiwa ni raia wa Colombia na Mama Mtanzania. Mbali na kuwa msaidizi wa Mohamed Dewji, pia alikuwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Mohamed Foundation aliyojiunga nayo Aprili, 2016 ambayo hutoa misaada ya huduma za kijamii kwa makundi mbalimbali nchini.

Pia alihudumu katika Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Young African Leaders Initiative (YALI) iliyo chini ya Rais wa zamani wa Marekani, Barrack Obama ambayo lengo lake kuu ni kuwekeza katika viongozi wa kizazi cha baadaye barani Afrika.

Barbara pia alikuwa mshauri wa taasisi ya Deloitte Consulting Limited Tanzania na pamoja na hilo, alifanya kazi katika miradi kadhaa iliyo chini ya mashirika makubwa duniani miongoni mwao yakiwa ni USAID, UNICEF, Benki ya Dunia na Plan International.

Huko Deloitte ndiko mimi nilipokutana naye kwa mara ya kwanza, alikuwa na chupa ya Mo Energy akikata kiu yake maridadi kabisa. Ghafla nikasikia amekuwa CEO wa Simba baada Simba kuachwa solemba na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wake, Senzo Mazingisa aliyejiuzulu ghafla na kukimbilia Yanga.

Baada ya kusikia stori hiyo nilimtumia ujumbe kumpa hongera mrembo huyu aliyepata shahada yake ya kwanza Chuo Kikuu cha Manhattanville College kilichopo New York, Marekani ambako alihitimu kwa ufaulu wa juu katika Sayansi ya Siasa na Uchumi.

Ujumbe wangu ulimsihi kutumia akili zoote kuipatia wadhamini wazito Simba Sc. Nikamwambia aanze sasa kutafuta mrithi wa Sportspesa,muda wake ukiishi ni kumwaga wino tu. Lakini iwe pesa ndefu kuliko timu yeyote Afrika Mashariki na Kati. Alinijibu kwa kifupi......Noted with thanks.

Nachotaka kusema wana Simba tunafarijika sana tunaposikia habari za Simba Sc kusaini mikataba na makampuni mbalimbali. Tunakupongeza na tunategemea makubwa sana katika mchakato wa kumpata mdhamini mkuu baada ya muda wa Sportpesa kuisha.

Simba Nguvu Moja
 
Barbara Gonzalez, alizaliwa jijini Dar es Salaam miaka kadhaa iliyopita, baba yake akiwa ni raia wa Colombia na Mama Mtanzania. Mbali na kuwa msaidizi wa Mohamed Dewji, pia alikuwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Mohamed Foundation aliyojiunga nayo Aprili, 2016 ambayo hutoa misaada ya huduma za kijamii kwa makundi mbalimbali nchini.

Pia alihudumu katika Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Young African Leaders Initiative (YALI) iliyo chini ya Rais wa zamani wa Marekani, Barrack Obama ambayo lengo lake kuu ni kuwekeza katika viongozi wa kizazi cha baadaye barani Afrika.

Barbara pia alikuwa mshauri wa taasisi ya Deloitte Consulting Limited Tanzania na pamoja na hilo, alifanya kazi katika miradi kadhaa iliyo chini ya mashirika makubwa duniani miongoni mwao yakiwa ni USAID, UNICEF, Benki ya Dunia na Plan International.

Huko Deloitte ndiko mimi nilipokutana naye kwa mara ya kwanza, alikuwa na chupa ya Mo Energy akikata kiu yake maridadi kabisa. Ghafla nikasikia amekuwa CEO wa Simba baada Simba kuachwa solemba na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wake, Senzo Mazingisa aliyejiuzulu ghafla na kukimbilia Yanga.

Baada ya kusikia stori hiyo nilimtumia ujumbe kumpa hongera mrembo huyu aliyepata shahada yake ya kwanza Chuo Kikuu cha Manhattanville College kilichopo New York, Marekani ambako alihitimu kwa ufaulu wa juu katika Sayansi ya Siasa na Uchumi.

Ujumbe wangu ulimsihi kutumia akili zoote kuipatia wadhamini wazito Simba Sc. Nikamwambia aanze sasa kutafuta mrithi wa Sportspesa,muda wake ukiishi ni kumwaga wino tu. Lakini iwe pesa ndefu kuliko timu yeyote Afrika Mashariki na Kati. Alinijibu kwa kifupi......Noted with thanks.

Nachotaka kusema wana Simba tunafarijika sana tunaposikia habari za Simba Sc kusaini mikataba na makampuni mbalimbali. Tunakupongeza na tunategemea makubwa sana katika mchakato wa kumpata mdhamini mkuu baada ya muda wa Sportpesa kuisha.

Simba Nguvu Moja
Kwa hiyo?
 
usilete maswali ya PGO
Kamanda naona umeingia rasmi kwenye payroll ya Mwamedi na umemsaliti kabisa Mwenyekiti wetu Mbowe. Nilitegemea kipindi hiki ungekuwa busy kumtetea kwa maandiko kama unavyofanya kwa Mwamedi kumbe tofauti,na hata profile umemuweka Mwamedi badala ya Mwenyekiti wetu anaepitia magumu. Kweli binadamu tunabadilika.
 
Kamanda naona umeingia rasmi kwenye payroll ya Mwamedi na umemsaliti kabisa Mwenyekiti wetu Mbowe. Nilitegemea kipindi hiki ungekuwa busy kumtetea kwa maandiko kama unavyofanya kwa Mwamedi kumbe tofauti,na hata profile umemuweka Mwamedi badala ya Mwenyekiti wetu anaepitia magumu. Kweli binadamu tunabadilika.
Frank umepaniki broo😂😂😂😂 juma mosi ni kesho.
 
Kamanda naona umeingia rasmi kwenye payroll ya Mwamedi na umemsaliti kabisa Mwenyekiti wetu Mbowe. Nilitegemea kipindi hiki ungekuwa busy kumtetea kwa maandiko kama unavyofanya kwa Mwamedi kumbe tofauti,na hata profile umemuweka Mwamedi badala ya Mwenyekiti wetu anaepitia magumu. Kweli binadamu tunabadilika.
Inasikitisha wana utopolo hawamuongelei kabisa shabiki wao wa kindakindaki Freeman Mbowe anayeteswa na wenye rangi kama jezi za utopolo
 
Kamanda naona umeingia rasmi kwenye payroll ya Mwamedi na umemsaliti kabisa Mwenyekiti wetu Mbowe. Nilitegemea kipindi hiki ungekuwa busy kumtetea kwa maandiko kama unavyofanya kwa Mwamedi kumbe tofauti,na hata profile umemuweka Mwamedi badala ya Mwenyekiti wetu anaepitia magumu. Kweli binadamu tunabadilika.
Mkuu, kwa hiyo wewe maisha ni SIASA tu?

Mkuu
 
Kamanda naona umeingia rasmi kwenye payroll ya Mwamedi na umemsaliti kabisa Mwenyekiti wetu Mbowe. Nilitegemea kipindi hiki ungekuwa busy kumtetea kwa maandiko kama unavyofanya kwa Mwamedi kumbe tofauti,na hata profile umemuweka Mwamedi badala ya Mwenyekiti wetu anaepitia magumu. Kweli binadamu tunabadilika.
Kwani kubadfilisha mwajiri ni dhambi? Huenda Mo amepanda dau
 
Barbara Gonzalez, alizaliwa jijini Dar es Salaam miaka kadhaa iliyopita, baba yake akiwa ni raia wa Colombia na Mama Mtanzania. Mbali na kuwa msaidizi wa Mohamed Dewji, pia alikuwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Mohamed Foundation aliyojiunga nayo Aprili, 2016 ambayo hutoa misaada ya huduma za kijamii kwa makundi mbalimbali nchini.

Pia alihudumu katika Bodi ya Ushauri ya Taasisi ya Young African Leaders Initiative (YALI) iliyo chini ya Rais wa zamani wa Marekani, Barrack Obama ambayo lengo lake kuu ni kuwekeza katika viongozi wa kizazi cha baadaye barani Afrika.

Barbara pia alikuwa mshauri wa taasisi ya Deloitte Consulting Limited Tanzania na pamoja na hilo, alifanya kazi katika miradi kadhaa iliyo chini ya mashirika makubwa duniani miongoni mwao yakiwa ni USAID, UNICEF, Benki ya Dunia na Plan International.

Huko Deloitte ndiko mimi nilipokutana naye kwa mara ya kwanza, alikuwa na chupa ya Mo Energy akikata kiu yake maridadi kabisa. Ghafla nikasikia amekuwa CEO wa Simba baada Simba kuachwa solemba na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wake, Senzo Mazingisa aliyejiuzulu ghafla na kukimbilia Yanga.

Baada ya kusikia stori hiyo nilimtumia ujumbe kumpa hongera mrembo huyu aliyepata shahada yake ya kwanza Chuo Kikuu cha Manhattanville College kilichopo New York, Marekani ambako alihitimu kwa ufaulu wa juu katika Sayansi ya Siasa na Uchumi.

Ujumbe wangu ulimsihi kutumia akili zoote kuipatia wadhamini wazito Simba Sc. Nikamwambia aanze sasa kutafuta mrithi wa Sportspesa,muda wake ukiishi ni kumwaga wino tu. Lakini iwe pesa ndefu kuliko timu yeyote Afrika Mashariki na Kati. Alinijibu kwa kifupi......Noted with thanks.

Nachotaka kusema wana Simba tunafarijika sana tunaposikia habari za Simba Sc kusaini mikataba na makampuni mbalimbali. Tunakupongeza na tunategemea makubwa sana katika mchakato wa kumpata mdhamini mkuu baada ya muda wa Sportpesa kuisha.

Simba Nguvu Moja
My respect and gratitude towards Simba's CEO Barbara Gonzalez💪👊

Hapa siongelei "mbango"....bali MAENDELEO YA SOKA LETU....pamoja na utani na kukogana na kuombeana "nakama ya kimichezo" baina yetu nanyi "mnyama" ila UKWELI utabaki palepale kuwa POPOTE PALE ZINAPOONEKANA JUHUDI ZA KULIINUA SOKA LETU hatuna budi "kupongeza" na "kushajiishana hayo".....

Hongereni WATANI ZETU kwa "kusaini" madili kila baada ya siku 3....🤣

Latest nimewaona hao AFRICARRIERS huku CEO wenu "akitukoga" ile mbaya ha ha ha

Baadaye kidogo tukutane "Lupaso" ili tuichukue hiyo NGAO na tuipeleke Jangwani....

#DaimaMbeleNyumaMwiko👊
#4Ever1935💪
 
Back
Top Bottom