Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,193
- 25,497
Jeshi la Polisi limewakamata Wachina wanne wakitorosha makinikia kwenda Dar es Salaam kinyume cha Sheria. RPC wa Mara amethibitisha. Mchanga huo una madini aina tofauti
RPC amesema polisi waliweka mtego na kunasa magari yaliyokuwa na wachina hao wakitorosha makinikia yanayokadiriwa kuwa na kilo 400. RPC huyo amewaonya wote wanajihusisha na mambo kama hayo kuacha mara moja!
Chanzo:ITV Habari
RPC amesema polisi waliweka mtego na kunasa magari yaliyokuwa na wachina hao wakitorosha makinikia yanayokadiriwa kuwa na kilo 400. RPC huyo amewaonya wote wanajihusisha na mambo kama hayo kuacha mara moja!
Chanzo:ITV Habari