mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wabunge wa Mkoa wa Mara wameandikiwa ujumbe na wapiga kura wao kuwa wasiposaini karatasi ya kuwatosa Mafisadi basi wasijiite Wabunge.
Na hawana uhalali wa kurudi Majimboni,hiyo imepelekea Mbunge wa Musoma vijijini ku saini haraka karatasi hiyo ili adhabu ya wapiga kura isimshukie,hadi sasa wabunge wa mara waliosaini ni Esther matiko(chadema) Alphaxad Kangi Lugola(CCM) Vincent Nyerere(chadema)Nimrod mkono(CCM) huku ambao bado hawajasaini ni Stephen Kebwe(CCM)
Rosemary Kirigini(CCM)
Stepen Wassira(CCM).
Lameck Airo(CCM)
Gaudentia kabaka(CCM)Esther bulaya(CCM)Nyambari Nyangwine(CCM), Kasi ya shinikizo kutoka kwa wapiga kura inaenea kwa kasi ambapo baadhi ya wa bunge wamekiri kuwepo kwa shinikizo hilo zito kutoka kwa Wapiga kura wao..
Na hawana uhalali wa kurudi Majimboni,hiyo imepelekea Mbunge wa Musoma vijijini ku saini haraka karatasi hiyo ili adhabu ya wapiga kura isimshukie,hadi sasa wabunge wa mara waliosaini ni Esther matiko(chadema) Alphaxad Kangi Lugola(CCM) Vincent Nyerere(chadema)Nimrod mkono(CCM) huku ambao bado hawajasaini ni Stephen Kebwe(CCM)
Rosemary Kirigini(CCM)
Stepen Wassira(CCM).
Lameck Airo(CCM)
Gaudentia kabaka(CCM)Esther bulaya(CCM)Nyambari Nyangwine(CCM), Kasi ya shinikizo kutoka kwa wapiga kura inaenea kwa kasi ambapo baadhi ya wa bunge wamekiri kuwepo kwa shinikizo hilo zito kutoka kwa Wapiga kura wao..