Mara: Viongozi wawili wamekamatwa kwa amri ya mkuu wa mkoa, baada ya kushindwa kutoa ushirikiano

pantheraleo

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
691
878
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ambaye pia Mkuu wa mkoa wa Mara bw Adam Malima,amegiza kukamatwa mara moja kwa Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Kitenga pamoja na Mwenyekiti wake wa kitongoji cha Kisangura kushindwa kutoa msaada wao baada ya moto kuteketeza bweni la wasichana katika shule ya sekondari ya Imacullata wilayani Tarime tukio ambalo limetokea usiku wa kuamkia Agosti kumi na sita mwaka huu.

Katika tukio hilo wanafunzi zaidi ya sabini wakiwemo walezi wao watano katika shule hiyo wamenusurika kifo baada ya moto kuteketeza kabisa bweni lao wakiwa wamelala huku vitu vyote vya wanafunzi hao vikiteketea.

Chanzo: ITV
 
Hizi kamatakamata kwa maagizo ya wakuu wa mikoa/wilaya kwenye utawala huu mbna zimeshamiri sana
 
Mkoa wa Mara, ni mkoa wenye watu makatili na watu wasio na muelekeo mzuri. Ubakaji wa wasichana mwingi, kuwadhulumu na kuwaangamiza wanawake, unyanganyi , kuuwana wenye kwa wenyewe, ujambazi baina ya makabila. Inasikitisha sana mkoa huu hauna sifa nzuri
 
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ambaye pia Mkuu wa mkoa wa Mara bw Adam Malima,amegiza kukamatwa mara moja kwa Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Kitenga pamoja na Mwenyekiti wake wa kitongoji cha Kisangura kushindwa kutoa msaada wao baada ya moto kuteketeza bweni la wasichana katika shule ya sekondari ya Imacullata wilayani Tarime tukio ambalo limetokea usiku wa kuamkia Agosti kumi na sita mwaka huu.

Katika tukio hilo wanafunzi zaidi ya sabini wakiwemo walezi wao watano katika shule hiyo wamenusurika kifo baada ya moto kuteketeza kabisa bweni lao wakiwa wamelala huku vitu vyote vya wanafunzi hao vikiteketea.

Chanzo: ITV
Bweni limeungua?? Naona moto unaanza taratibu taratibu keshokutwa utasikia Ghala morogoro na tunduma.
 
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ambaye pia Mkuu wa mkoa wa Mara bw Adam Malima,amegiza kukamatwa mara moja kwa Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Kitenga pamoja na Mwenyekiti wake wa kitongoji cha Kisangura kushindwa kutoa msaada wao baada ya moto kuteketeza bweni la wasichana katika shule ya sekondari ya Imacullata wilayani Tarime tukio ambalo limetokea usiku wa kuamkia Agosti kumi na sita mwaka huu.

Katika tukio hilo wanafunzi zaidi ya sabini wakiwemo walezi wao watano katika shule hiyo wamenusurika kifo baada ya moto kuteketeza kabisa bweni lao wakiwa wamelala huku vitu vyote vya wanafunzi hao vikiteketea.

Chanzo: ITV
Kwani hao ndo zimamoto? Kweli nchi imepata watawala na si viongoz
 
Mkoa wa Mara, ni mkoa wenye watu makatili na watu wasio na muelekeo mzuri. Ubakaji wa wasichana mwingi, kuwadhulumu na kuwaangamiza wanawake, unyanganyi , kuuwana wenye kwa wenyewe, ujambazi baina ya makabila. Inasikitisha sana mkoa huu hauna sifa nzuri
Sipingani na mtazamo wako lakini umekaa kidhahania zaid ya uhalisia.
 
Back
Top Bottom