The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Inaweza kuwa kama ndoto, lakini mambo haya hutokea.
Hakuna aliyejua kuwa Mzee John P. Magufuli angekufa mwezi uliopita. Wengi walidhani na hata kuanza kufikiri kubadili katiba ya nchi ili imruhusu atawale milele.
Yaani walidhaniaga ni kweli kabisa yeye ni JIWE na kwa hiyo haliwezi kufa kwa sababu liliumbwa hivyo....kutokufa..!
Mara paah, katika wakati ambao hakuna aliyedhani na from NO WHERE mzee wa watu kabatizwa jina jipya, "MWENDAZAKE".....yaani akafa kifo cha mwili, kifo cha kawaida.
Sasa lipo hili. Ni gumu lakini FROM NO WHERE, linaweza kutokea hata kuacha midomo ya wahifidhina wa CCM wazi wasijue nini kimetokea na nini cha kufanya kuzuia lisiwe.!
Si mama a.k.a "Malkia wa sauti nyororo" amesema, ktk kuteua watu wa kumsaidia na kusadia kusukuma maendeleo ya nchi mbele hatajali sana "kuta" za itikadi za kisiasa...?
Sasa, fikiri nje ya box kidogo.
Kwamba, mara waaah bin vuuh, anaamua kusafiri hadi Ubelgiji na kuamua kumleta Tundu A. M Lissu na kisha kumteua kuwa DPP, unafikiri nini kitatokea..?
Wallahi, CCM kutachafuka. Nafikiri pia kuwa, serikali yote ukiondoa Rais Samia Suluhu Mwenyewe itakuwa "under cold protest" kwa hofu ya usalama wao...!!
Remember this, THERE IS NOTHING IMPOSSIBLE UNDER THE SUN.
Hakuna aliyejua kuwa Mzee John P. Magufuli angekufa mwezi uliopita. Wengi walidhani na hata kuanza kufikiri kubadili katiba ya nchi ili imruhusu atawale milele.
Yaani walidhaniaga ni kweli kabisa yeye ni JIWE na kwa hiyo haliwezi kufa kwa sababu liliumbwa hivyo....kutokufa..!
Mara paah, katika wakati ambao hakuna aliyedhani na from NO WHERE mzee wa watu kabatizwa jina jipya, "MWENDAZAKE".....yaani akafa kifo cha mwili, kifo cha kawaida.
Sasa lipo hili. Ni gumu lakini FROM NO WHERE, linaweza kutokea hata kuacha midomo ya wahifidhina wa CCM wazi wasijue nini kimetokea na nini cha kufanya kuzuia lisiwe.!
Si mama a.k.a "Malkia wa sauti nyororo" amesema, ktk kuteua watu wa kumsaidia na kusadia kusukuma maendeleo ya nchi mbele hatajali sana "kuta" za itikadi za kisiasa...?
Sasa, fikiri nje ya box kidogo.
Kwamba, mara waaah bin vuuh, anaamua kusafiri hadi Ubelgiji na kuamua kumleta Tundu A. M Lissu na kisha kumteua kuwa DPP, unafikiri nini kitatokea..?
Wallahi, CCM kutachafuka. Nafikiri pia kuwa, serikali yote ukiondoa Rais Samia Suluhu Mwenyewe itakuwa "under cold protest" kwa hofu ya usalama wao...!!
Remember this, THERE IS NOTHING IMPOSSIBLE UNDER THE SUN.