Mara paah! Lissu kashinda Urais 2020. Je, watakimbia nchi?

Mkuu, umetoa mifano ambayo ukilinganisha na bara letu la afrika ni tofauti kabisa kama mbingu na ardhi

Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu Crimea wanasema shetani na kifo huja kipindi ambacho mwanadamu hatotegemea. hata ndugu zetu wa rwanda na burundi hawakutegemea but shetani alimuingia charismatic leader mmoja wakajikuta matatani. Somalia pia hivyohivyo na africa ya kati pia vivyo hivyo.Kwa ninavyoona na kusikia wakati huu hatupo salama tena mkuu. tuendelee kumuomba mungu.
 
mkuu Crimea wanasema shetani na kifo huja kipindi ambacho mwanadamu hatotegemea. hata ndugu zetu wa rwanda na burundi hawakutegemea but shetani alimuingia charismatic leader mmoja wakajikuta matatani. Somalia pia hivyohivyo na africa ya kati pia vivyo hivyo.Kwa ninavyoona na kusikia wakati huu hatupo salama tena mkuu. tuendelee kumuomba mungu.

Inaasisiwa nchi ya hatari yenye chuki na visasi vizazi na vizazi.

Wamekosekana waungwana wa kuliona hili na kuwakemea bayana wote wanaopalilia hili.
 
Urais wa BBC na VOA sawa upepo unaelekea huko , lakini kwa kutumia akili wana mtaji wa kura 8M dhidi ya mgombea maarufu Ngoyai 6M hiyo tofauti itoshe kukufungua kuwa Rais hapatikani kwenye mitandao Ndugu.
jiulize mwenyewe risasi 30+, halafu Lissu 2020 akashinda kama upepo unavomuelekea kuna watu watakimbia nchi ( wasiojulikana) watajulikana.

let us pray for Lissu apone haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpiga kura siyo watangazaji wa bbc wala voa mpaka Lisu ashinde urais!

Wakati mwingine muache ujinga, wapiga kura ni hao unaokutana nao kila siku huku mtaani, sasa jiulize je wanataarifa zozote kuhusu Lisu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mitaani kuna vilio, kuanzia mama ntilie hadi wakulima wa korosho na kahawa. Mmewaletea maendeleo ambayo wao hawaoni athari yake. Ndege wanazitazamia hewani huku wakiendelea na zana duni za kilimo huku wakikopwa na kupunjwa!!! WafanyaBiashara wanalia midomo juu na kuhamisha biashara huku wengine wakizifunga...
Aaah ni ndoto tu!!!
 
jiulize mwenyewe risasi 30+, halafu Lissu 2020 akashinda kama upepo unavomuelekea kuna watu watakimbia nchi ( wasiojulikana) watajulikana.

let us pray for Lissu apone haraka.
Labda ashinde kesi ya MIGA

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Hili jambo la Lissu ni muujiza, wadau wakubwa wengi serikali na muhimili wameonyesha kulipuuza, records rasmi zipo na hata Jana Mh. Lugola kaongelea kutelekezwa kesi husika Mbunge ni! Mbali ya Lissu hata Rais yeyote msimamia haki na kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IT WILL NEVER NEVER NEVER HAPPEN...... I REPEAT AGAIN NEVER NEVER NEVER HAPPEN.
 
Ikitokea Lowassa akamuunga mkono Lissu kuwa mgombea halafu wakapanda jukwaa moja kuomba kura Jiwe atakimbia nchi kabla ya uchaguzi.
 
jiulize mwenyewe risasi 30+, halafu Lissu 2020 akashinda kama upepo unavomuelekea kuna watu watakimbia nchi ( wasiojulikana) watajulikana.

let us pray for Lissu apone haraka.
Wataua sana ili waendelee kuwepo hata kama wananchi wamesema sasa basi.
Wameishakula mno nyama za watu. Hawataondoka hivi hivi bali kwa nguvu
 
Hili jambo linafikirisha sana.

Hivi kuna siri isiyojulikana ambayo itasababisha upinzani washinde uchaguzi?

Hata kama wapiga kura wangetaka iwe hivyo, hivi kweli kwa hali ilivyo nchini kunawezekana pakawepo nafasi ya wapinzani kushinda?

Natamani sana kujua matumaini haya yanatokana na nini.

Hivi si tumeshuhudia chaguzi hizi ndogo ndogo zilizofanyika kuwachagua wabunge walionunuliwa kwa bei mbaya? Kuna kitu gani kitakachofanya uchaguzi huo mkuu uwe tofauti na hizi ndogo.

Siri hii ndiyo ninayoomba kuifahamu. Au kwa kuwa ni siri itabaki kuwa hivyo? Hata 'hint' tu kutupia hapa haiwezekani?
Haya sawa!
Sio siri, huu ni ukweli shubiri kaka mzee
 
Mnajifurahisha sana ,wakuu kwa taarifa zilizopo , TAL hatopishwa chadema kugombea urais , labda chama kingine

Lissu hatoamini na hapo ndipo atastaafu siasa kwa lazima ,maana wanaomtetea ndio watakaomponda mitandaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jambo linafikirisha sana.

Hivi kuna siri isiyojulikana ambayo itasababisha upinzani washinde uchaguzi?

Hata kama wapiga kura wangetaka iwe hivyo, hivi kweli kwa hali ilivyo nchini kunawezekana pakawepo nafasi ya wapinzani kushinda?

Natamani sana kujua matumaini haya yanatokana na nini.

Hivi si tumeshuhudia chaguzi hizi ndogo ndogo zilizofanyika kuwachagua wabunge walionunuliwa kwa bei mbaya? Kuna kitu gani kitakachofanya uchaguzi huo mkuu uwe tofauti na hizi ndogo.

Siri hii ndiyo ninayoomba kuifahamu. Au kwa kuwa ni siri itabaki kuwa hivyo? Hata 'hint' tu kutupia hapa haiwezekani?
Haya sawa!
Well said.
 
Hili jambo linafikirisha sana.

Hivi kuna siri isiyojulikana ambayo itasababisha upinzani washinde uchaguzi?

Hata kama wapiga kura wangetaka iwe hivyo, hivi kweli kwa hali ilivyo nchini kunawezekana pakawepo nafasi ya wapinzani kushinda?

Natamani sana kujua matumaini haya yanatokana na nini.

Hivi si tumeshuhudia chaguzi hizi ndogo ndogo zilizofanyika kuwachagua wabunge walionunuliwa kwa bei mbaya? Kuna kitu gani kitakachofanya uchaguzi huo mkuu uwe tofauti na hizi ndogo.

Siri hii ndiyo ninayoomba kuifahamu. Au kwa kuwa ni siri itabaki kuwa hivyo? Hata 'hint' tu kutupia hapa haiwezekani?
Haya sawa!

LABDA JUA LICHOMOZE MAGHARIBI NA KUZAMA MASHARIKI NDIO MAMA TANZANIA AMRUHUSU MSALITI WAKE KUCHUKUA NCHI WALAHI


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom