Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Uncircumcised baboon
Hongera sana mla
Mbunge wa jimbo la Serengeti kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Marwa Ryoba Chacha amejivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) muda mfupi uliopita kwa kile alichodai kuunga mkono juhudi za Mhe. John Pombe Magufuli katika kuwaletea wananchi wa Tanzania maendeleo.
Amesema hajashurutishwa na yeyote kuchukua maamuzi haya.
Marwa amewasihi wana Serengeti kumchagua wanayeona anafaa, anayeunga mkono juhudi za Mhe. Rais Magufuli katika kuleta maendeleo.
Akitangaza kujivua uanachama amesema,
Mimi Marwa Ryoba Chacha, mbunge wa jimbo la Serengeti na mwanachama wa CHADEMA, leo tarehe 27/08/2018 nimeamua kwa hiari yangu mwenyewe bila kushinikizwa na mtu yeyote kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na Chama cha Mapinduzi. Nawaomba wananchi wa Serengeti, mlinipa imani kubwa ya kuwatumikia lakini imefikia sehemu kupitia CHADEMA naona kama siwatendei haki.
Nimeamua nijivue uanachama na kujinga na chama cha mapinduzi ili kuunga mkono juhudi za maendeleo ambazo anazifanya Rais Magufuli. Niwaombe wananchi wa Serengeti, nafasi ipo kwenu chagueni mtu mnayemuona anawafaa kuwawakilisha ambaye ataungana na Rais Magufuli kuwaletea maendeleo.
Asanteni sana.
VIDEO:
Jamaa kagundua kua hata uchaguzi ukiitishwa Chadema watasusia atapita bila kupingwa.
Tubadili katiba, kama mtu anataka kuhama chama ahame bila kutuingiza kwenye hasara za uchaguzi.
Nchi hii bado masikini, vipaumbele ni vingi sana, pesa iende kwenye mambo ya msingi na sio kila siku ni uchaguzi.
By t way kuna majimbo zaidi ya 150 ya yanayoongozwa na ccm toka 2015, wabunge wake wanaunga mkono CCM since then, sioni tofauti yake ya maisha na majimbo yasiyo ya CCM. Kuunga mkono au kutounga sijaona tofauti.
Tufanye wabunge wote wa upinzani waunge mkono jitihada za rais, je itabadili hali yetu ya maisha na kua mazuri zaidi, Tanzania itaanza kutiririka maziwa na asali? Kwamba kutokuunga mkono ndio kunazuia hayo?
Mwalimu alipambana na matatizo kama ujinga, maradhi, nk lakini hili la ujinga bado ni tatizo. Mtu anasema akiunga mkono analeta maendeleo, mbona maendeleo hayapo kwenye wabunge ambao ni wa ccm toka 2015?
kama mkate kwa chai................Hawa wakurya sijui wamepatwa na nini, ndio kabila tulikuwa tunaona ni ngamgari, sasa limekuwa kama mlenda
Na mvimbe mpasukeToo much! boring, barbaric, archaic, uncivilized......
Tunamkaribisha pia"Dying without bitterness"
Sitoshangaa kusikia Mbowe amejitoa CDM kuunga juhudi za Rais.
Kwani we una umuhimu gani hata kwa tarafa yako??sana sana unaongeza idadi ya watu wasio na umuhimu wowote nchiniHizi zama zitapita na huu ujinga utapita tu.
Hoja ya Zitto kuhusu kile kifungu inazidi kupata nguvu kadri siku zinavyokwenda.
Kamwe hamtakuja kuniona namuunga mkono huyu mtu maana ni sawa na mhujumu uchumi.
Wezi chumueni vyote mniachie Yesu[/QUOTE
Ndio umeandika nini sasa?Yesu anaweza akaibwa kweli ? Acha upunguani
Sio kihivyo kama unavyodhani! ila naona huu kama ujinga flan, anyway kupanga ni kuchagua, hata angekuwa wa chama gani ni maslahi kwa familia yake!Na mvimbe mpasuke
Aya yote unaongea kujifariji..ukweli unaujua..hivi watoti wa mwenye nyumba na watoto wa mpangaji nani ana uhuru kwa baba mwenye nyumba..?? Je watoto wa mpangaji wana haki sawa sawa na watoto wa mwenye nyumba..?? Baki na ukweli kwa moyo wako.Jamaa kagundua kua hata uchaguzi ukiitishwa Chadema watasusia atapita bila kupingwa.
Tubadili katiba, kama mtu anataka kuhama chama ahame bila kutuingiza kwenye hasara za uchaguzi.
Nchi hii bado masikini, vipaumbele ni vingi sana, pesa iende kwenye mambo ya msingi na sio kila siku ni uchaguzi.
By t way kuna majimbo zaidi ya 150 ya yanayoongozwa na ccm toka 2015, wabunge wake wanaunga mkono CCM since then, sioni tofauti yake ya maisha na majimbo yasiyo ya CCM. Kuunga mkono au kutounga sijaona tofauti.
Tufanye wabunge wote wa upinzani waunge mkono jitihada za rais, je itabadili hali yetu ya maisha na kua mazuri zaidi, Tanzania itaanza kutiririka maziwa na asali? Kwamba kutokuunga mkono ndio kunazuia hayo?
Mwalimu alipambana na matatizo kama ujinga, maradhi, nk lakini hili la ujinga bado ni tatizo. Mtu anasema akiunga mkono analeta maendeleo, mbona maendeleo hayapo kwenye wabunge ambao ni wa ccm toka 2015?
Wewe ni mmoja na mtu mdogo sana usijilinganisha na mbunge,kazania cdm majibu unayo,humuamlii mbunge kukaa cdm kwa ujinga uliomo,taswira ya chama ni ubora wa chama siyo malalamiko na kulialiaHizi zama zitapita na huu ujinga utapita tu.
Hoja ya Zitto kuhusu kile kifungu inazidi kupata nguvu kadri siku zinavyokwenda.
Kamwe hamtakuja kuniona namuunga mkono huyu mtu maana ni sawa na mhujumu uchumi.
???????No problem, no longer at easy!
Ni ujinga kwako ila ni kutua mzigo kwa mhamaji.Sio kihivyo kama unavyodhani! ila naona huu kama ujinga flan, anyway kupanga ni kuchagua, hata angekuwa wa chama gani ni maslahi kwa familia yake!
una maanisha nini? Kwamba Tanzania kuna wapangaji na wenye Nyumba? Du?hizi siasa uchwara zinazofanya either na watu waliofeli shule au walioenda shule kukariri tu maandishi vitabuni ili wafaulu mitihani inatuharibia nchi sanaH
Aya yote unaongea kujifariji..ukweli unaujua..hivi watoti wa mwenye nyumba na watoto wa mpangaji nani ana uhuru kwa baba mwenye nyumba..?? Je watoto wa mpangaji wana haki sawa sawa na watoto wa mwenye nyumba..?? Baki na ukweli kwa moyo wako.
bajeti yake hipo; unataka ipigwe kama ESCROW.Jamaa kagundua kua hata uchaguzi ukiitishwa Chadema watasusia atapita bila kupingwa.
Tubadili katiba, kama mtu anataka kuhama chama ahame bila kutuingiza kwenye hasara za uchaguzi.
Nchi hii bado masikini, vipaumbele ni vingi sana, pesa iende kwenye mambo ya msingi na sio kila siku ni uchaguzi.
By t way kuna majimbo zaidi ya 150 ya yanayoongozwa na ccm toka 2015, wabunge wake wanaunga mkono CCM since then, sioni tofauti yake ya maisha na majimbo yasiyo ya CCM. Kuunga mkono au kutounga sijaona tofauti.
Tufanye wabunge wote wa upinzani waunge mkono jitihada za rais, je itabadili hali yetu ya maisha na kua mazuri zaidi, Tanzania itaanza kutiririka maziwa na asali? Kwamba kutokuunga mkono ndio kunazuia hayo?
Mwalimu alipambana na matatizo kama ujinga, maradhi, nk lakini hili la ujinga bado ni tatizo. Mtu anasema akiunga mkono analeta maendeleo, mbona maendeleo hayapo kwenye wabunge ambao ni wa ccm toka 2015?
Endelea kuwawapigia kura ccm mileleKamwe upinzani wa Tanzania si kuwaaamini hadi niwapigie kura yangu!!
Hayo ndio matunda ya Demokrasia...Hizi zama zitapita na huu ujinga utapita tu.
Hoja ya Zitto kuhusu kile kifungu inazidi kupata nguvu kadri siku zinavyokwenda.
Kamwe hamtakuja kuniona namuunga mkono huyu mtu maana ni sawa na mhujumu uchumi.