Nakubaliana na heading yako ... niko very much dissapointed na hao ndugu zangu, lakini siwalaumu. Ni mfumo uliopo ndio umewajenga hivyo ( na majority ya watanzania) kuwa jinsi walivyo, so tusiwalaumu sana. Slaa ameanza, tushirikiane naye kuwaelimisha Watanzania wote .... waamke kutoka kwenye ganzi waliyowekewa na ccm kwa kipindi cha miaka 50 !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.