Ni kweli sio wote mkuuSio wakurya wote jamani,others tuko sawa kabisa.
Egoooooo
Chinekeee
Sure, but punguzeni kdgo hyo generalizationNi kweli sio wote mkuu
After all binadamu tumeumbwa kugeneralize
Wote tu hata weweSure, but punguzeni kdgo hyo generalization
Hapana but sometimes inakua nguvu kdgo....unamshtuaaWote tu hata wewe
Hivi maana ya kujichukulia sheria mkononi ni nini kwa mustakabali wa tukio hili. Naona polisi wanaropoka ki mazoea sasa.Polisi Wilaya ya Serengeti wanamshikilia Changwa Sebeki (19) mkazi wa Kijiji cha Merenga kwa tuhuma za mauaji ya Kegoka Mwikwabe (22) anayedaiwa alimuondoa kwenye harusi kwa kukosa zawadi.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, Danilel Shillah leo Jumapili Novemba mosi ameliambia Mwananchi kwa njia ya simu kuwa tukio hilo limetokea jana Oktoba 31 majira ya saa 1.30 jioni kijijini hapo.
"Mtuhumiwa alimkatakata kwa panga na kusababisha kifo chake. Sababu ni kuwa katika harusi moja, marehemu alikuwa anasimamia vijana (wanaocheza na binti) kutoa zawadi lakini mtuhumiwa alicheza (na binti) na alipoambiwa atoe zawadi (kama ilivyo kwa taratibu za Kikurya), hakuweza kutoa hivyo akatolewa nje.
“Kutokanana kitendo hicho (kilichofanyika mwaka jana), mtuhumiwa huyo aliweka kisasi moyoni na alipokutana jana na aliyemtoa harusini akaamua kumkata.
Kamanda Shillah amesema wanatarajia kumfikisha mtuhumiwa mahakamani kwa kosa alilotenda na amewataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi.
Hawa jamaa kuna ulazima wa kuwapeleka maabara kujua nini chanzo. kuna yule ticha walimpiga mkuki kwa issue ndogo tuHaya mambo mengine yanafurahisha na kuhuzunisha at the same time.
Let's meet at the top, cheers 🍻
wacha kuhusisha bange na vitu vya kijinga.Bangi tu hizo, yaan tukio la kijinga hilo tena la mwaka jana ndo unalipa kisasi leo!
Au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia!
Ni kama wachaga walivyo wezi na dada zao malaya hapa sinza na kwingineko...Ni kweli sio wote mkuu
After all binadamu tumeumbwa kugeneralize
Ni kama wachaga walivyo wezi na dada zao malaya hapa sinza na kwingineko...
Tumeumbwa kugeneralize sisi binadamu..
Na mimi ni mkurya mkuu... 😁
Mkuu mi mchaga ujue
Ha ha haNa mimi ni mkurya mkuu...
Tumeumbwa ku-generalize ila tunakosea sana maana kila mwanadamu kaumbwa na tabia yake kuna watu kutoka Mara ni waastarabu na wapple hasa hata ikitokea mmeonana huko kwenye vikao akajitambulisha ni mzaliwa wa mara utakataa....Ha ha ha
Vry true mkuu, nimekupataTumeumbwa ku-generalize ila tunakosea sana maana kila mwanadamu kaumbwa na tabia yake kuna watu kutoka Mara ni waastarabu na wapple hasa hata ikitokea mmeonana huko kwenye vikao akajitambulisha ni mzaliwa wa mara utakataa....
Hivyo tusipende kuhukumu Ms. Witness...
Kwan we nani anakupenda?Kione hiki nachoMi ndo mana sipendi wakurya
Naona kama akili zao sio nzuri
Hashindwi kukufanya lolote,Wana spirit ya ukatili hivi.
Juzi hapa nasoma habari jamaa kammwagia mkewe maji yalokuwa yanachemka kiss kachelewa kumpikia ugali..