Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Ndege ilizuiwa kwa sababu tuna deni. Ilifanyiwa garnishment. Njia pekee ya kuirejeaha ndege ni kulipa deni au kukata rufaa International Court of Arbitration (ICA), a court of ICC; na tukashinde kesi. Makao makuu ya ICC yapo Paris Ufaransa. Kama wana sheria wa Tanzania wanaenda Canada hawaendi kubishania kesi; wanaenda kulipa deni. Kama wanataka kukata rufaa waende Ufaransa sio Canada
Magufuli kusema amemuandikia barua waziri mkuu wa Canada ili kesi isikilizwe haraka ni uongo. Waziri mkuu wa Canada hawezi kuingilia muhimili wa mahakama. Canada sio kama Tanzania ambapo Rais anawaamuru majaji kujukumu kesi haraka haraka bila proper due process. Rais kazingua hapa.
Matter of fact ruling ya Sterling kupewa hiyo fidia ya $38M hakutoka kwenye mahakama ya Canada. Ilitoka kwenye International Court of Arbitration. Sasa hapo waziri wa Canada anaingiaje? Magu aache kufanganya watu. I’m convinced serikali imeamua kulipa hilo deni ili ndege ije na sio kuwapeleka wana sheria. Yaani Magu anataka kutuaminisha kuwa anawapeleka wanasheria na tunapewa ndege bila kulipa kitu! Unbelievable!
Magufuli kusema amemuandikia barua waziri mkuu wa Canada ili kesi isikilizwe haraka ni uongo. Waziri mkuu wa Canada hawezi kuingilia muhimili wa mahakama. Canada sio kama Tanzania ambapo Rais anawaamuru majaji kujukumu kesi haraka haraka bila proper due process. Rais kazingua hapa.
Matter of fact ruling ya Sterling kupewa hiyo fidia ya $38M hakutoka kwenye mahakama ya Canada. Ilitoka kwenye International Court of Arbitration. Sasa hapo waziri wa Canada anaingiaje? Magu aache kufanganya watu. I’m convinced serikali imeamua kulipa hilo deni ili ndege ije na sio kuwapeleka wana sheria. Yaani Magu anataka kutuaminisha kuwa anawapeleka wanasheria na tunapewa ndege bila kulipa kitu! Unbelievable!