nguvu za nyani
Senior Member
- May 21, 2013
- 141
- 34
Hata baada ya mambo kuwa live bado hamtaki kujivua magwanda?Hakika ni aibu kuvuliwa kwa nguvu
Habari wana JF ifuatayo ni taarifa ya bodi ya wadhamini ya JOHA Trust inayomiliki shule za Babro Johnson na Kajumulo Girls kuhusu mchango wa shilingi bilion 1.6 kuchangia shule hizi kutoka kwa Rugemalira.
BARBRO JOHANSSON GIRLS EDUCATION TRUSTJOHA- TRUSTP.O. Box 14556, Dar e Sa!aa", Ta#$a#%a. Te!& '
55 2129883 (0) 744 596649;Fax 255 22 2129882; e-mail:
(o)a*r+*o*"a%!.o"
TAARIA /A BODI /A 0ADHAINI 0A JOHA TRUST 20A0A3A3I NA UA 2UHUSU CHANGO 0A SHS BILIONI1.61 2UTO2A 20A B0. JAES RUGEALIRA 0A TAREHE1' EBRUARI, '14
1.Bodi ya Wadhamini
ya Shirika la Barbro Johansson Girls Education Trust(JOHA TRUST au BARBRO) inatoa taarifa hii kutokana na utata ulioitok!"akuhusu #chan$o %a Shs bilioni #oa #ilioni #ia sita ku#i na saba na lhaki#oa (Shs &'&'&**'****+, ) tuliou-ok!a kutoka k%a B% Ja#!s Ru$!#alira%a ./0 En$in!!rin$ and 1ark!tin$ 2i#it!d3
2.Mwanzilishi wa Shirika na Malengo yake:
Bodi ya 4adha#ini BARBROinachukua nafasi hii kufafanua k%a#ba kion$o"i %a 4aan"ilishi %a asasiy!tu ni 1h! 0rof!sa Anna Tibaiuka a#bay! -ia ni 4a"iri %a Ardhi' 5yu#bana 1a!nd!l!o ya 1aka"i3 1al!n$o na #adhu#uni ya taasisi ya JOHA TRUSTni ku!nd!l!"a !li#u k%a #toto %a kik! k%a ku%afadhili %asichana %!ny!6i-ai lakini %atokao katika fa#ilia "a ki-ato kido$o kuso#a katika shul!bora ina"o"i!nd!sha3
3.Jina la taasisi ya JOHA !"S
linatokana na ua#u"i %a %ana%ak!%aan"ilishi ku#-a h!shi#a
Amekimbia kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JAMIIFORUMS...... Huyu mama kadri anavyozidi kufungua kinywa chake katika juhudi za kujitetea ndiyo anavyozidi kuonyesha upumbavu wake.
mkuu Matola, sijui tukuamini wewe au Mh. Saada Mkuya, waziri wa fedha wa serikali ya JK aliyelithibitishia bunge likiwa 'live' kwenye tv kuwa "juzi amesaini na pesa zimeshatoka"!Wamarekani wamesitisha kutoa msaada wa MCC mpaka majambazi yote yatiwe jela.
mkuu Matola, sijui tukuamini wewe au Mh. Saada Mkuya, waziri wa fedha wa serikali ya JK aliyelithibitishia bunge likiwa 'live' kwenye tv kuwa "juzi amesaini na pesa zimeshatoka"!
Actually, naona kama huyu mama anazidi kujidhalilisha kwa kuja na majibu rahisi kwenye jambo gumu. Approach yake haionyeshi kuwa ni Profesa.