Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 572
- 356
Sio chini ya mil 3.Mbona kama document yote mnazungumzia JOHA TRUST? Eti wenye kipato kidogo kusoma shule nzuri..niambieni ADA ya kusoma shule hii kwanza.
Sio chini ya mil 3.Mbona kama document yote mnazungumzia JOHA TRUST? Eti wenye kipato kidogo kusoma shule nzuri..niambieni ADA ya kusoma shule hii kwanza.
Kwa kweli kama pesa hii ilirudi kwa wananchi kwa kusaidi hizi shule mbili za sekondari za wasichana...basi tulegeze moyo kwa mama Tibaijuka, angalau mgao wake ulirudi kwa jamii.
Sio chini ya mil 3.
Shule haikuwa na akaunti mpaka pesa ilipwe kwenye akaunti binafsi? Akaunti hiyo binafsi ndipo zinapowekwa ada za wanafunzi?
Mnajitekenya na kucheka nyie wenyewe. Shame. Soon mtakaa kimya kama maiti.
Uzuri wengi hapa JF hawasomi Content ili wachangie kwa hoja.
Mimi nimesoma andiko lao nimegundua kumbe ni kutaka kumsafisha Prof Tibaijuka kwa kutumia tope.
Mambo mawili nilyoona yanawafunga ni haya.
1-Hawakuweka kumb no ya mwaka 2012 iliotumika kuomba msaada.Ni muhimu sana
2-Inawezekanaje fedha zikaingia kwenye account 12/2/2014 na kesho yake 13/2/2014 Bodi ikaitwa ikakaa na siku hiyo fedha zikahamishwa kupelekwa benki M kulipa deni. Kawadangaye watoto.
Hivi mnaangaika na nini? kwani Prof Tibaijuka ndiye waziri pekee aliywahi kujiuzulu hata kama hausiki? shame
Uzuri wengi hapa JF hawasomi Content ili wachangie kwa hoja.
Mimi nimesoma andiko lao nimegundua kumbe ni kutaka kumsafisha Prof Tibaijuka kwa kutumia tope.
Mambo mawili nilyoona yanawafunga ni haya.
1-Hawakuweka kumb no ya mwaka 2012 iliotumika kuomba msaada.Ni muhimu sana
2-Inawezekanaje fedha zikaingia kwenye account 12/2/2014 na kesho yake 13/2/2014 Bodi ikaitwa ikakaa na siku hiyo fedha zikahamishwa kupelekwa benki M kulipa deni. Kawadangaye watoto.
Hivi mnaangaika na nini? kwani Prof Tibaijuka ndiye waziri pekee aliywahi kujiuzulu hata kama hausiki? shame
maamuzi kuhusu escrow ni wiki ijayo..jk
tulia mama acha kupapalika kama bisi jikoni..