Iwapo akibainika mtualiyesaidia kupenyeza Covid pale Ikulu angestahiki Tuzo ya Heshima.Kusema kweli Mungu amejibu maombi yetu hadi leo sijui angeshateka wangapi?
Usijali mkuu hiyo ni hali ya kawaida kwa wenye mimba kuwa na hasira!Kweli marehem alifanya kaz kubwa kwa mama, ngoja na mimi nitafute cheo ili uniite baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mama yako anajifungua lini kwa hiyo mimba ya marehemu jiwe?Usijali mkuu hiyo ni hali ya kawaida kwa wenye mimba kuwa na hasira!
Hasa ukizingatia aliekupa mimba kafariki!
. Kwa hiyo ukijifungua utakaa sawa tu!
Kwani ina miezi mingapi toka akuchie?Kwahiyo mama yako anajifungua lini kwa hiyo mimba ya marehemu jiwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unajisifu mama yako ana mimba ya marehemu ina miezi mitatu?Kwani ina miezi mingapi toka akuchie?
Nadhani huu ni mwezi wa tatu kwahiyo una miezi 6 mingine ndio ujifungue.
Sibishani na wenye mimba mimiKwahiyo unajisifu mama yako ana mimba ya marehemu ina miezi mitatu?
Hivi na wewe hautamani kuwa na mimba kama ya Bi Mkubwa wako?
Btw kwenye urithi mtoto wa kambo upo kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yako kaachiwa mimba tu na marehemu? Hamjaachiwa kitu chochote dada?Sibishani na wenye mimba mimi
Hiyo ni dhahiri hiyo awamu tulipoteza vibaya sana.Kwa yoyote mwenye akili timamu kamwe hawezi kusifia huo utawala labda kama alinufaika au anatatizo la utu,ubinadamu na upendo ndani yake.Ikiwezekana hiyo awamu ifutwe kwenye kumbukumbu za nchi.
Tatizo ni vyombo vyetu vya usalama kushindwa kubaini kuwa Magufuli hakuwa mtazania halisi, kwa asili yake ukatili ni kama uji na mgonjwa
sorry wako malegend ambao wameifanyia kazi dunia kabla ya magufuli hata kuzaliwa. na wanakumbukwa.. wengine hadi keenye viyab vya science wametajwa.Kwel magufuli alikuwa jiwe yana mpaka leo ameenda zake lakin bado wajane wanatumia nguvu nyingi kumchafua na bado anawashinfa
Jpm ni binadamu wakwanza kushinda vita ikiwa tayari kashafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel magufuli alikuwa jiwe yana mpaka leo ameenda zake lakin bado wajane wanatumia nguvu nyingi kumchafua na bado anawashinfa
Jpm ni binadamu wakwanza kushinda vita ikiwa tayari kashafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli sijui nisemeje ila Alituumiza sana hebu fikiria Niliemtegemea alifukuzwa kazi alafu haijatosha nyumba ambayo tulikuwa tuitegemee badala yake yule tuliemtegemea nayo Ikabomolewa kwakuwa imeonekana ipo barabarani.
Tukasema okay ngoja tudili na biashara biashara nayo tuliotaka kuanzisha tukaambiwa tulipe kiasi fulani cha Kodi bila hivyo ni kufungwa.
Chaajabu hata sijui kilichotokea muhimili wa familia Akafungwa ndani kwa kosa la Kuhujumu Uchumi tumehangaika na kesi weeeee mpaka anakuja kutoka Hatuna kitu chochote kile.
Kwakweli hakuna anaeweza kunishauri kuniambia eti Awamu ya tano ilikuwa nzuri labda watu wa kanda ya ziwa maana wao walimuona Mungu. Sisi wengine tulikosa kila kitu hata tulichokuwa nacho kidogo.
Akafe tena ,mshenzi yule.Mzimu wake bado unakuchapa mbela na nyuma