monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 720
- 943
Habari wajuvi, natumaini hamjambo
Katika pitapita zangu mitandao mbalimbali ya kijamii kusaka bidhaa used nimekuta bei ya ps4 fat used kati ya 500k - 550k tofauti na ps4 slim na pro ambazo bei ni kati ya 650k - 950k
Wakuu nataka ninunue ps4 fat kwa matumizi ya biashara je itanifaa au zina mapungufu mengi ndo maana bei kitonga msaada tafadhali.
Katika pitapita zangu mitandao mbalimbali ya kijamii kusaka bidhaa used nimekuta bei ya ps4 fat used kati ya 500k - 550k tofauti na ps4 slim na pro ambazo bei ni kati ya 650k - 950k
Wakuu nataka ninunue ps4 fat kwa matumizi ya biashara je itanifaa au zina mapungufu mengi ndo maana bei kitonga msaada tafadhali.