Mapungufu ya Muungano:Wazanzibar wanapeleka wawekazaji Bara. Wabara wanapeleka Wamachinga Zanzibar.

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Unaona wafanya biashara wakubwa kutoka Zanzibar wamewekeza Bara.kama BAKHARESA. TURKEY. na wengine ambao wanaingiza kodi kubwa kwa upande wa bara Lkn kwa upande wa Bara kwenda Zanzibar wengi wa wabara ni wauza Nyungo,viazi, wantembeza mabeseni, visu, sabuni , mapeas. Wachoma mahindi, muhogo wa kuchoma. vitumbua na wengine wauza vinyago na walinzi wa mahoteli ambao hawaingizi pato kubwa kwa zanzibar
jee hali ya maisha ya Tzbara ni magumu au ? au ndio kero ya Muungano hii?
 
Wao huko Zenji nackia wamewekeza wamachinga wanauza karanga kwenye ungo.

Wamasai wanauza tumbaku pale daraajani,
 
Kwanini mtu asumbuke kuwekeza mtaji mkubwa kwa nchi yenye watu sawa na Wilaya ya Bariadi ,Meatu na Maswa? Is its wealthy economically? Je Turky na BAKHRESA wamewekeza Bara kwa kuwapendelea Wataganyika au kunufaika na Uhakika wa soko la bidhaa zao?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom