IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Baada ya kupitia kwa muda mrefu rasimu hii , nimegundua kuwa:
Rasimu ina makosa mengi sana ya kimpangilio kwa maana ya kuwa mambo mengi sana yamechanganywa changanywa katika sura tofauti tofauti. Japo inawezaq kutafsilika kuwa imefanyika hivyo kwa kufanya msisitizo kwa mfano katika mambo ya haki za binadamu, kuchanganya changanya mambo kunapunguza ubora wa katiba yenyewe. Itakapoandikwa katiba yenyewe ni vema tuhakikishe kuwa mambo hayachanganywi changanywi katika aya tofauti ili kuwe na mtiririko sawia.
Rasimu ina makosa mengi sana ya kimpangilio kwa maana ya kuwa mambo mengi sana yamechanganywa changanywa katika sura tofauti tofauti. Japo inawezaq kutafsilika kuwa imefanyika hivyo kwa kufanya msisitizo kwa mfano katika mambo ya haki za binadamu, kuchanganya changanya mambo kunapunguza ubora wa katiba yenyewe. Itakapoandikwa katiba yenyewe ni vema tuhakikishe kuwa mambo hayachanganywi changanywi katika aya tofauti ili kuwe na mtiririko sawia.