mojawapo wa suala nililo liona lina mapungufu katika hotuba ya kumaliza mwaka 2010 na kukaribisha mwaka 2011, swala la umeme na utatuzi wake. moja ya mapungufu aliye ongelea yeye mwenyewe, kushindwa kwa mwekezaji wa mtwara kuzalisha mw300 za umeme wa mtwara ambao sasa anadai mbia? kesha patikana wa kuzalisha huo umeme, pia kushindwa kwa kiwira coal mines kuzalisha hizo 200mw.
sasa kwa kiongozi makini mwenye nia ya kweli ya kuikomboa tanzania hawezi kukabidhi uhai wa nchi kwa wawekezaji ambao wakati wowote wanaweza kuweka uhai wa nchi kautata kama wawekezaji hawa walivyo fanya, labda kama nia ya kuweko kwake adarakani iwe ni kuwatajirisha hao wawekezaji kwa kioo cha ubinafsi shaji
sasa kwa kiongozi makini mwenye nia ya kweli ya kuikomboa tanzania hawezi kukabidhi uhai wa nchi kwa wawekezaji ambao wakati wowote wanaweza kuweka uhai wa nchi kautata kama wawekezaji hawa walivyo fanya, labda kama nia ya kuweko kwake adarakani iwe ni kuwatajirisha hao wawekezaji kwa kioo cha ubinafsi shaji