Rungwe alishasemaga,'Huyu mtu alishasema hafuati katiba bali ananyoosha nchi, namsubiri tu amjibu Rungwe nasi tufahamu ni wapi palipo pinda?! Bora hata angesema anapindisha nchi maana ilinyooka mno.
Ndio na anahitaji kuambiwa ni wapi palipo pinda? Nashangaa mkuu anapotezea kutoa majibu.Rungwe alishasemaga,'
huwez kuendesha nchi kwa VISASI'