Jamani naomba aliyekaribu na JK amjulishe kuwa sikufurahishwa na haya yafuatayo na ndio sababu namuhukumu kama alisema hivyo ila atatenda sivyo.
1) wakati wa kusherehekea kupewa kwake urais mbele ya NEC, yeye mwenyewe alikiri kuwa yapo mambo mazuri ambayo wenzake yaani vyama vingine vya siasa vimeyasema na aka ahidi kuyafanyia kazi. Sasa namuuliza je ni yapo hayo mazuri yaliomvutia? na ikiwa ana dhamira ya kweli basi si vibaya akataja mambo hayo ili aondolewe adhabu ya kuitwa alitamka hivyo ila hatatenda hivyo kwakuwa sitaki kumuita mna.....fiki!
2) Nalazimika kuamini hatatenda hivyo kwa kuwa nilitumainia katika hotuba yake ya kufunguwa bunge ange yazungumzia hayo mema ya wapinzani kwa kuwa pale alitumia nafasi ile kuonyesha vipaumbele vyake. Swali kwake je Jk amesha sahau kuwa amesema atafanyia kazi na sera za wapinzani? mbona sijaona akisema chochote?
Naamini Jk atajisafisha vyema kwa wananchi wake pale atakapokuwa jasiri wa kuweka wazi haya na hakika kw akufanya hivyo atarudisha heshima na uaminifu wangu kwake.
1) wakati wa kusherehekea kupewa kwake urais mbele ya NEC, yeye mwenyewe alikiri kuwa yapo mambo mazuri ambayo wenzake yaani vyama vingine vya siasa vimeyasema na aka ahidi kuyafanyia kazi. Sasa namuuliza je ni yapo hayo mazuri yaliomvutia? na ikiwa ana dhamira ya kweli basi si vibaya akataja mambo hayo ili aondolewe adhabu ya kuitwa alitamka hivyo ila hatatenda hivyo kwakuwa sitaki kumuita mna.....fiki!
2) Nalazimika kuamini hatatenda hivyo kwa kuwa nilitumainia katika hotuba yake ya kufunguwa bunge ange yazungumzia hayo mema ya wapinzani kwa kuwa pale alitumia nafasi ile kuonyesha vipaumbele vyake. Swali kwake je Jk amesha sahau kuwa amesema atafanyia kazi na sera za wapinzani? mbona sijaona akisema chochote?
Naamini Jk atajisafisha vyema kwa wananchi wake pale atakapokuwa jasiri wa kuweka wazi haya na hakika kw akufanya hivyo atarudisha heshima na uaminifu wangu kwake.