Uduvi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 738
- 518
Imedhihilika maprofessor wote walioingia katika siasa wameprove failure,tukianza na kapuya,salungi,muongo na tibaijuka ifikie hatua sasa hata professor akiteuliwa kushika bafac ya kiuongozi kisiasa akatae ili tu kulibda heshima yake na ya professional yake.ni mtazamo tu,usichangie kwa chuki