tutaweza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 634
- 457
Mimi mpaka sasa sijaelewa kitu kimoja, kwanini ni CDM ndio wameshupalia hiyo tume na sio familia ya mfiwa. Afadhali hata waandishi wa habari wangeshupalia tungeelewa.
Kwa sababu mauaji yametokea kwenye mkutano wao na polisi wanataka kuaminisha wananchi kwamba CDM ndio wafanya fujo!
Lazima ukweli ujulikane. Fuatilia takwimu za mauaji yaliyofanywa na polisi tangu mwaka 2010.