Asante mtoa post kwa picha za mafuriko! Asante wanaMorogoro a.k.a mji kasoro Bahari! Sasa ndugu zetu wa CCM eti wao wakitembea kimyakimya wanataka wapinzani nao watembee kimyakimya! Tangu lini upinzani ukafundishwa siasa na CCM? Nachojua mimi siku zote ccm ndo huwa wanaiga mambo CHADEMA mfano ni matumizi ya Helikopta kwenye kampeni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.