Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mitano + mitano kumbuka kaanza 2021 machi hadi 2025 oktobaMinne na mitano, mitisa
Ukipata kiongozi wa kiislam akawa na imani japo nusu ya dini yake hawana tabu na ukamkuta mwenye dini hasa mtaishi kama mbinguni,kifupi luxurious za duniani hazijawahi kumhadaa mcha Mungu kwake maisha ya dunia ni mapito ya muda mfupi sana haoni sababu ya kukera mtu mwingine.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Si kila mapokezi ya Rais lazima awekewe zulia jekundu.Hata marehemu Magufuli ni safari nyingi tu ambazo hakutandaziwa zulia ikiwemo ile ya Chato anakwenda kunywa kahawa.Tumezoea kuona viongozi wakubwa wakipokelewa kwa mazulia mekundu, kwanini kwa mama yetu haikuwa hivyo? Kiprotokali limekaaje hili wanabodi?View attachment 1742740
Acha jazba mkuu tofautisha muislam na anayeitwa muislam,kwani hawapo waislam wanaokula kitimoto au kunywa pombe lkn dini imekataza,na hayo makundi ya wahuni huko Libya,somalia hawapo ktk misingi ya uislam na uislam haujaelekeza hivyo fuatilia kumbuka si kila mtu anaeitwa Mohammed hassan basi wametimia katika uislam wao wengine ni majina tuHivi libya Sudan kusini hakuna waislam au Somalia vipi Yemen? Acheni mambo ya ajabu bana. Mama inaweza kua hulka yake lakini sio dini ndo inasababisha hayo. Nchi za ulaya nyingi ni za kikristo na ndo zinaongoza kwa amani na usawa maisha mazuri. Nao utasema viongozi ni waislam? PASAKA NJEMA
Safar hii hamuongezi miaka 40?Mama si mpenda sifa za kijinga. Ni mcha Mungu na anajua yupo anayestahili sifa na utukufu. Muacheni apige kazi. Mama mitano na mitano tena.
Yaani kina watu hawana kazi bali kuleta majungu kila kukicha kwa kufuatilia umbea wa vitu visivyo wahusuMpigie cm umuulize.
Mbona mnawashwawashwa sana...
Mtakuja ingilia hadi ndoa ya Mama muda si mrefu.
Inategemea na aina ya ziara, hata magu Kuna nyingi tu kulikuwa hakuna red carpetTumezoea kuona viongozi wakubwa wakipokelewa kwa mazulia mekundu, kwanini kwa mama yetu haikuwa hivyo? Kiprotokali limekaaje hili wanabodi?View attachment 1742740
Hapana inategemea na aina ya ziaraTimu ya itifaki huwa pia inatazama hitaji la Rais, kama yeye ataona siyo la lazima basi huwa na wao huweka kando. Zuria jekundu ni SIFA siyo suala la lazima la kiitifaki, Mama hapendi itifaki za SIFA.
Sio kweli, itifaki sio matakwa ya mama Samia Bali inategemea na aina ya ziara.Mama si mpenda sifa za kijinga. Ni mcha Mungu na anajua yupo anayestahili sifa na utukufu. Muacheni apige kazi. Mama mitano na mitano tena.
Jiwe is no more hapo lumumba utakufa njaaTusubiri ufipa waite press waje na majibu!
Apa ni pale alipo shuka Chato!
Samia lazima afukuze timu yote ya Itifaki na Habari Ikulu ili afanikiwe.
Bado mfumo dume wa jiwe haujawatoka. Afukuze wote aanze na timu yake, wale waadilifu wanaomtii wabaki. Jiwe aliharibu kila mfumo! na individuals autuwape/wapewa time to adjust to new situationsTumezoea kuona viongozi wakubwa wakipokelewa kwa mazulia mekundu, kwanini kwa mama yetu haikuwa hivyo? Kiprotokali limekaaje hili wanabodi?View attachment 1742740
Mkuu relis ,hii comment imenibariki sana Jumapili njema ya leo.Ukipata kiongozi wa kiislam akawa na imani japo nusu ya dini yake hawana tabu na ukamkuta mwenye dini hasa mtaishi kama mbinguni,kifupi luxurious za duniani hazijawahi kumhadaa mcha Mungu kwake maisha ya dunia ni mapito ya muda mfupi sana haoni sababu ya kukera mtu mwingine.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app