cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 83,354
- 134,168
Aliyewaroga kachanganyikiwa na kasahau kuwa aliwahi kuwa mchawi.
Mwafwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyewaroga kachanganyikiwa na kasahau kuwa aliwahi kuwa mchawi.
Mwafwaa
mfumo wa serikali hii unaompa mamlaka makubwa rais ndio wa kulaumiwa hii yote ni kujipendekeza kulikopiltiliza kwa wasaidiz wa rais ili wabakie kwene nafasi zao au wapandishwe vyeo hakuna weledi na watendaji hawatumii critical thinking kwenye kufanya maamuzi, yapi, kwann, na kwa faida ipi.... na tatizo hili zinaanzia kwenye ngazi ya famili, linakomazwa kwenye muundo wa elimu zetu na mwishowe linakuwa sehemu ya tamaduni ya jamii yetu.. we need to change watanzania.Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
SUKUMA GANG mnateseka mkiwa wapi,Chato iwe mkoa sawa tu mtulie sasaHii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Kwani tunaposema raisi KIPUSA huwa amuelewiHii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Katiba imetupigaKwani tunaposema raisi KIPUSA huwa amuelewi
Achana na sukuma gang. Hebu weka ushabiki maandazi pembeni, kuna haja ya tukio hilo?SUKUMA GANG mnateseka mkiwa wapi,Chato iwe mkoa sawa tu mtulie sasa
Kweli yule mzee japo alikuwa na mapungufu yake lakini kuna mambo alikuwa sawa.Hizi ndio shughuli mzee wetu alikuwa hazifagilii maana ni mianya ya kujilipa tu hela! Warsha, semina sijui kongamano vyote lengo ni watu kugawana per diem ndio maana walikuwa hawampendi
Ni ya mamako sio?Nchi sio ya babako
Mimi mwenyewe mgeni.unatumia nini kufikiri?
IPO haja ya tukio na ni muhimu kwa maslahi mapana ya nchi yetu ,mbona hamkuhoji elephant prac za chato!?Achana na sukuma gang. Hebu weka ushabiki maandazi pembeni, kuna haja ya tukio hilo?
Kwa gharama ya Serikali, akiwa kama kiongozi mkuu wa serikaliWanapokelewa kwa gharama ya nani hiyo ndio hoja ya msingi mzee. Shida sio kupokelewa. Hata wewe mbona ukirudi kutoka kazini unapokelewa na mumeo na wanao na hamna shida!
Kwani mkuu hapo imeambiwa patachinjwa ma ng'ombe na watu kufanya starehe mpaka useme ni ufujaji wa pesa ?Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Hebu tuambie umuhimu wake ni nini. Usiseme tu kuna umuhimu halafu hauusemi. Mimi nimekuambia sio muhimu kwasababu ni ufujajiIPO haja ya tukio na ni muhimu kwa maslahi mapana ya nchi yetu ,mbona hamkuhoji elephant prac za chato!?
Gharama ya serikali? Unafahamu kuwa hizo gharama ni kodi wanazonyonywa watanzania?Kwa gharama ya Serikali, akiwa kama kiongozi mkuu wa serikali
Ni ya mamako sio?
Wewe inaonekana hujui jinsi mambo yanavyofaniyika na mimi sikutoi huo ujinga kwasababu waswahili husema "asiejua maana haambiwi maana".Kwani mkuu hapo imeambiwa patachinjwa ma ng'ombe na watu kufanya starehe mpaka useme ni ufujaji wa pesa ?
Ugali ninao kama hujala njoo ule kwangu.Katafute ugali. Waachie nchi yao.