Mapokezi ya ndege: Rais Samia ameongea kama mmoja wa viongozi wa Awamu ya Tano

Benson Mramba

JF-Expert Member
Oct 29, 2013
644
1,482
Nimekuwa nikikwazika sana kumsikia Mama akiongea as if hakuwa makamu wa Rais wa Dkt. Magufuli. Wakati mwingine nimekuwa naona kama anasaliti uongozi mzuri wa Hayati Magufuli.

Jana wakati akipokea ndege ya mizigo ya ATCL Mama aliongea kama kiongozi aliyeshiriki katika harakati za Awamu ya tano. Pamoja na ripoti mbaya ya CAG Kichere (mtazamo wangu) ambayo niliona ina malengo ya kupotosha harakati za Dr Magufuli kwa ATCL lakini Mama jana alijibebesha uhusika wa mambo yote ya ATCL nilipenda sana.

Maoni yangu: Ili Mama afanikiwe katika Awamu yake hii ya sita hapaswi kujitenga na Dr Magufuli hata kidogo KIMSIMAMO WALA KIMTAZAMO.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽

Sasa mbona hukukwazika JPM alipojitenga na awamu zilizotangulia wakati alikuwa sehemu ya Serikali hizo kama Waziri?

Mnafiki mkubwa!
 
Sasa mbona hukukwazika JPM alipojitenga na awamu zilizotangulia wakati alikuwa sehemu ya Serikali hizo kama Waziri?
Mnafiki mkubwa!
Mimi nilikuwa mpinzani wa hiyo serikali aliyojitenga nayo ndio maana nikamuunga mkono
 
Mimi nilikuwa mpinzani wa hiyo serikali aliyojitenga nayo ndio maana nikamuunga mkono
Basi usione ajabu,ni suala la kawaida Rais kwenda kinyume na serikali iliyopita au zilizopita!
Hata huyo aliyepita,kuna watu walikuwa hawampendi!
Mwendazake alishaoza,cha msingi serikali ya sasa itende haki,itoe uhuru na iwaletee wananchi maendeleo!
Hizo blah blah za kumlazimisha awe kapu moja kwa kila kitu na mwendazake zishindwe na zilegee!
 
Nimekuwa nikikwazika sana kumsikia Mama akiongea as if hakuwa makamu wa Rais wa Dkt. Magufuli. Wakati mwingine nimekuwa naona kama anasaliti uongozi mzuri wa Hayati Magufuli.

Jana wakati akipokea ndege ya mizigo ya ATCL Mama aliongea kama kiongozi aliyeshiriki katika harakati za Awamu ya tano. Pamoja na ripoti mbaya ya CAG Kichere (mtazamo wangu) ambayo niliona ina malengo ya kupotosha harakati za Dr Magufuli kwa ATCL lakini Mama jana alijibebesha uhusika wa mambo yote ya ATCL nilipenda sana.

Maoni yangu: Ili Mama afanikiwe katika Awamu yake hii ya sita hapaswi kujitenga na Dr Magufuli hata kidogo KIMSIMAMO WALA KIMTAZAMO.
Mnalazimisha Mama akumbatie Mzoga wa Marehemu Dikteta
 
Basi usione ajabu,ni suala la kawaida Rais kwenda kinyume na serikali iliyopita au zilizopita!
Hata huyo aliyepita,kuna watu walikuwa hawampendi!
Mwendazake alishaoza,cha msingi serikali ya sasa itende haki,itoe uhuru na iwaletee wananchi maendeleo!
Hizo blah blah za kumlazimisha awe kapu moja kwa kila kitu na mwendazake zishindwe na zilegee!
Wapumbavu wengi wanajaribu kutaka Samia ajitenge na hiyo selikali iliyopita,.. Tuliwaambia ule ni mfumo wakawa wabishi,. Na hawa wapumbavu wanapopata haya yanayowapata wanashangaa sana.
 
Wapumbavu wengi wanajaribu kutaka Samia ajitenge na hiyo selikali iliyopita,.. Tuliwaambia ule ni mfumo wakawa wabishi,. Na hawa wapumbavu wanapopata haya yanayowapata wanashangaa sana.
Mpumbav ni wewe,kama ni mfumo leo hii chanjo zisingeingia nchini!Mwendazake angekuwa hai bado habari ya mjini ingekuwa ni nyungu tu!Hata hivyo kwa yaliyotendeka kwenye upande wa haki ni Mengi kuliko haya mapungufu madogo!
Ukiangalia waliobambikiziwa kesi ambao wako huru leo,inatia moyo!Bado tunavuta Subra suala la Mbowe!Inshallah kitaeleweka!
 
Hivi unajua utofauti uliopo kati ya makamu wa Rais na Waziri? Tuanzie hapo kwanza
Hebu acha upopoma!Walioendelea kama hukubaliani na falsafa za kiongozi mkuu wa nchi unajiuzulu!
Huku bongo ni kuufyata na kukubali kila kitu kulinda ugali!
Ukiwaangalia akina Mwigulu wa leo,sio wale wa JPM!Wamekula U turn!
 
Mpumbav ni wewe,kama ni mfumo leo hii chanjo zisingeingia nchini!Mwendazake angekuwa hai bado habari ya mjini ingekuwa ni nyungu tu!Hata hivyo kwa yaliyotendeka kwenye upande wa haki ni Mengi kuliko haya mapungufu madogo!
Ukiangalia waliobambikiziwa kesi ambao wako huru leo,inatia moyo!Bado tunavuta Subra suala la Mbowe!Inshallah kitaeleweka!
Masikini!

Kwahiyo kwakuwa chanjo imekuja ndio mambo yako safi?

Sasa mnalilia nini? Dhalimu si kafa?
 
Mwendazake ilitakiwa azikwe kwa zege ya kiwango Cha madaraja asije akafufuka akatupeleka kwenye uongozi wake wa kipumbavu
Kabisa!

Maana baada ya kuondoka yeye magaidi yakaanza kukamatwa!

Kumbe mwenda zake alikea migaidi kwa zaidi ya miaka 5 aisee!
 
Tu
Sasa mbona hukukwazika JPM alipojitenga na awamu zilizotangulia wakati alikuwa sehemu ya Serikali hizo kama Waziri?
Mnafiki mkubwa!
Tuliza mshono mr,
Kuwa waziri sio kuwa na maamuzi ya uraisi.
Mbona chadema kiongozi wenu anahusika na ugaidi lakini nyie mmekaa kinya hata kuhama chama hamtaki
 
Back
Top Bottom