nobodylikedme
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 742
- 766
Mbona mimi sipati tabu na wala sifurahii kabisa ujio wa hili lindege
Hongera Rais , hakika IPO siku utakumbukwa na wanaokupiga mawe
Hongera Rais , hakika IPO siku utakumbukwa na wanaokupiga mawe
Inabidi tuandikishe daftari la wanyonge ili tujue ni akina nani hasa. Maana tunapoenda isije idadi ya wanyonge ikazidi mwisho ikawa nchi ya wanyonge. Kabla ya yote inabidi tupate ufafanuzi wa kina wa maana ya wanyonge kisha tuwatambue wanyonge wote nchini isije ikawa tu propaganda kumbe mafisadi ndo wamejibatiza jina la wanyonge halafu wana endelea kuinyonya nchi yetu.Mkimaliza kupokea.. mtoe ofa ya mwezi wanyonge wasafiri bure.
Waonje ladha ya kodi zao.
Mafisadi unawajua kwa picha au audio?..Inabidi tuandikishe daftari la wanyonge ili tujue ni akina nani hasa. Maana tunapoenda isije idadi ya wanyonge ikazidi mwisho ikawa nchi ya wanyonge. Kabla ya yote inabidi tupate ufafanuzi wa kina wa maana ya wanyonge kisha tuwatambue wanyonge wote nchini isije ikawa tu propaganda kumbe mafisadi ndo wamejibatiza jina la wanyonge halafu wana endelea kuinyonya nchi yetu.
Amefufuka sio?Giant wa Afrika Mashariki kaamka toka usingizini..