Mapokezi ya mh slaa chadema karagwe yadoda

Status
Not open for further replies.
majirani sijuhi ni ndugu zako hao,wanazomewa mpaka vichochoroni ...tafakari,chukua hatua!
 
Karakana ya uongo imeanza kazi,leo kinana yupo arusha sijui kama tembo watasalimika
 
Dk. Willibrod Slaa, hupo rasmi Baraza la Mashauriano la Mkoa wa Kagera ambalo linaundwa na viongozi kutoka katika kila jimbo la mkoa huo, linalofanyika kwa muda wa siku tatu katika wilaya ya Karagwe.

Mheshiwa Dk slaa amekuna na upinzani mkubwa wilayani Karagwe kutokana na kutopokelewa na wanchi wengi.


Hii ni kutokana na Chadema kutokuwa na mvuto wilayani Kargwe.

Mapokezi yake yalikuwa Duni sana ukilinganisha na sehemu nyingine.


Picha ntapost wkt wowote Mheshiwa dk slaa ni nukuu aliyosema wakati wa kiakao

''
Dk. Slaa alisema CHADEMA waliwezesha kufutwa kwa kodi za manyanyaso katika wilaya ya Karatu baada ya kulikalia kidete suala hilo, na ndipo CCM ilitumia sera hiyo na kuondoa kodi za namna hiyo takriban nchi nzima.
Aliongeza kuwa walianzisha pia sera ya kujenga zahanati kila kata wilayani Karatu, ambayo nayo CCM baadaye ilichukua na kisha kutangaza kuanzisha utaratibu wa kujenga zahanati kila kata nchi nzima.
“Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2010, CHADEMA tuliahidi sera ya kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi nchi nzima kama tungeingia madarakani. Wakati huo CCM ilidai haiwezekani ila sasa nao wametangaza kupunguza gharama za bidhaa hizo,” alisema.
Alifafanua ni wazi kuwa CCM ikiweza kutekeleza sera ya CHADEMA ya kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi na kutoa elimu bure kabla ya mwaka 2015, watafurahi maana hawana wivu,''

Sawa mapokezi yalikuwa duni, je, mbunge wa karagwe aliyeiba kura bado anakuja jimbo chini ya ulinzi? Husitufanye mazezeta kama wewe.
 
Muulizeni Hawa Ghasia na ccm kwa ujumla walichokipata Mtwara, nipo Mtwara hivi sasa ni aibu kubwa walipata hawa ndugu pale makonde beach na kwenye mkutano wa hadhara.
 
uongo unadharirisha sana nna uhakika mpaka mida hii umeuona ukweli wa mapokezi ya dr slaa karagwe, siku nyingine kama haupo katika eneo la tukio jaribu kuwa mtulivu na usubiri waliopo huko wanasemaje, imesemwa mjinga akikaa kimya huhesabiwa ufahamu
 
attachment.php


Kumbe muongo!!!!
 
kweli wewe haupo karagwe, nipo uwanja wa mpira isingiro watu wametoka pande zote hata uganda, uwanja haujawi jaa kiasi hiki wala hatujawahi pata magari mengi hivi. Nashindwa kuweka picha kwani nina kasimu kangu kadogo leo.
 
unakaa unadanganya ukidhani unakitetea chama chako, kwa taarifa yako kagera ccm itazimwa kabisa uchaguzi ujao mida hii mbunge wa ccm bukoba mjini yupo anafanya mkutano ambao una wahudhuriaj wachache sana anamponda meya anayetokana na chama chake cha ccm, kesho subiri taarifa za kweli M4C itashuka kama kunguru anavyonyakua panzi wanaopigana
 
Dk. Willibrod Slaa, hupo rasmi Baraza la Mashauriano la Mkoa wa Kagera ambalo linaundwa na viongozi kutoka katika kila jimbo la mkoa huo, linalofanyika kwa muda wa siku tatu katika wilaya ya Karagwe.

Mheshiwa Dk slaa amekuna na upinzani mkubwa wilayani Karagwe kutokana na kutopokelewa na wanchi wengi.


Hii ni kutokana na Chadema kutokuwa na mvuto wilayani Kargwe.

Mapokezi yake yalikuwa Duni sana ukilinganisha na sehemu nyingine.


Picha ntapost wkt wowote Mheshiwa dk slaa ni nukuu aliyosema wakati wa kiakao

''
Dk. Slaa alisema CHADEMA waliwezesha kufutwa kwa kodi za manyanyaso katika wilaya ya Karatu baada ya kulikalia kidete suala hilo, na ndipo CCM ilitumia sera hiyo na kuondoa kodi za namna hiyo takriban nchi nzima.
Aliongeza kuwa walianzisha pia sera ya kujenga zahanati kila kata wilayani Karatu, ambayo nayo CCM baadaye ilichukua na kisha kutangaza kuanzisha utaratibu wa kujenga zahanati kila kata nchi nzima.
“Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2010, CHADEMA tuliahidi sera ya kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi nchi nzima kama tungeingia madarakani. Wakati huo CCM ilidai haiwezekani ila sasa nao wametangaza kupunguza gharama za bidhaa hizo,” alisema.
Alifafanua ni wazi kuwa CCM ikiweza kutekeleza sera ya CHADEMA ya kupunguza gharama za vifaa vya ujenzi na kutoa elimu bure kabla ya mwaka 2015, watafurahi maana hawana wivu,''

[h=2]
icon1.png
PICHA: Harakati za CHADEMA huko Karagwe, Kagera[/h]
attachment.php

Wanachama wa Chadema katika Mkutano uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa

attachment.php

Katika mkutano huo mjini Kayanga, ambako Dk Slaa alisema Chadema haioni wivu wa kubuni sera na CCM ikatekeleza kwa manufaa ya watanzania


Wajumbe wakiwa katika Baraza la Ushauri wilayani Karagwe, Kagera. Hawa ni viongozi wa majimbo, wilaya na mkoa mzima. Ni utaratibu ambao ni endelevu.




Mwenyekiti wa Chadema mkoani Kagera, Wilfred Rwakatare akifungua mkutano.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom