Nec wasidharau jamani tunaendelea kuwaonya.Aisee.
Nec wasidharau jamani tunaendelea kuwaonya.Aisee.
Ndio hichi kinawahenyesha yaaniPakeni hata rangi servant quarter yenu. Hivi mpo serious kweli mnataka nchi?View attachment 1571581
Ni vizuri CCM mkajifariji maana mna hali mbayaaa saaana!!! Huku Jpm kazomewa kagera huku Lissu kaufunga mkoa wa Songwe leo!!!! Dadeki 😂😂😂😀Subiri October 28 utajua tunaenda wapi na Magufuli.
Kila mtu ana mtizamo wake...Si mmesema jpm atapata 95% sasa mbona unasema Lissu hawezi kupata 18%.
You must be a disgrace
Thubutu yake. Magufuli Tunduma akipata kura 100 tu ashukuru Mungu!!! Hata CCM wenzake hawamtakiMh JPM akipiga kambi hapo Tunduma mtashangaa umati mkubwa wa ajabu.. Subirini, sisemi Lissu hajapata watu leo, ila wa kwetu CCM utapita huo
Lissu ni binadamu na nusuSpeech ya Lissu Tunduma....ni heavyweight.
Magu kashachokwa huyo mzeeT
Thubutu yake. Magufuli Tunduma akipata kura 100 tu ashukuru Mungu!!! Hata CCM wenzake hawamtaki
Wamechanganyikiwa. Leo magufuli wao kakataliwa kagera huku Lissu leo kaufunga Mkoa wa SongweMmeshafikisha 20%? Wiki mbili nyuma mlikuwa mnaongelea 5%!!
TrueLissu ni binadamu na nusu
Tume iwe huru isiwe huru, amini amini was nakwambia Raisi ni Tundu Antiphas LissuWe si una kura moja ?, Ndivyo na wengine walivyo na kura zao. Sema tume si huru
Leo Bukoba ilikuwaje? Mmeshawaachia wahaya wa watu waliowakataa??? Au mtawafungulia makosa ya uhujumu uchumi muwatese kama Kabendera na mama yake?Nginja nginja mpaka ikulu ni mwendo wa Tanzania ya kijani. View attachment 1571584
Mambo magumu yanaanzia hapo. Wapambe watamfikishia ujumbeWamechanganyikiwa. Leo magufuli wao kakataliwa kagera huku Lissu leo kaufunga Mkoa wa Songwe
TrueTume iwe huru isiwe huru, amini amini was nakwambia Raisi ni Tundu Antiphas Lissu
Hao watatu walijitoa muhanga tu kwa kaiza nero lakini maelfu kwa maelfu hwaitaki ccmLeo bukoba ilikuwaje??? Mmeshawaachia wahaya wa watu waliowakataa??? Au mtawafungulia makosa ya uhujumu uchumi muwatese kama Kabendera na mama yake???
Na Tundu Lissu kamwambia magufuli kua anaenda kuponya majeraha ya wana Kagera soonWamechanganyikiwa. Leo magufuli wao kakataliwa kagera huku Lissu leo kaufunga Mkoa wa Songwe
Hakuna kuokoana Kila mtu apambane na half yake ,alichopanda,ndicho atakacho vuna.Only NEC ndio wanaweza kuwaokoa CCM hapo 28 octoba. Njia nii nyeupe kwa Lissu na Chadema.
Ni Yeye2020
Mtakufa kihoro..Twende na Magufuli View attachment 1571576
Hawa WAHUNI wa CCM Mpya ni suala la muda tu, hakuna Mwananchi anayejitambua anayependa kuendelea tena na hii Serikali ya WATEKA NYARA, Kubambikia kesi zisizo na dhamana Watu, Kulipisha Kodi mara mbili zaidi ya gharama halisi za manunuzi, Kukandamiza demokrasia na kuminya uhuru wa habari n.kHahahaa Hivi Siasa Unaijua wewe Wenzenu CCM wanawapiga Kura nyie mnamashabiki Lowassa aliondoka na Asilimia zake 30 kazirudishwa CCM so mwaka huu mkipata 20% mshukuru sana asee Maana CCM itawapiga kichapo cha mbwa koko