Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Mwende wapi na fisadi mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?Twende na Magufuli View attachment 1571576
Mwende wapi na fisadi mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?Twende na Magufuli View attachment 1571576
Lissu hawezi kupata more than 18 per centHahahaa Hivi Siasa Unaijua wewe Wenzenu CCM wanawapiga Kura nyie mnamashabiki Lowassa aliondoka na Asilimia zake 30 kazirudishwa CCM so mwaka huu mkipata 20% mshukuru sana asee Maana CCM itawapiga kichapo cha mbwa koko
Umeiona nyomi ya Kagera lakini?
Nginja nginja mpaka ikulu ni mwendo wa Tanzania ya kijani.Mwende wapi na fisadi mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?
Chadema eti leo mna mate ya kutamka neno fisadi. 2015 hatukusikia hata mkiliwaza baada ya kumpitisha lowassa.Mwende wapi na fisadi mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?
We si una kura moja ?, Ndivyo na wengine walivyo na kura zao. Sema tume si huruTatizo mnalazimisha kwamba Lisu ameshashinda wakati uwezo huo hana
Mnataka mwende wapi na fisadi magufuli mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?Chadema eti leo mna mate ya kutamka neno fisadi. 2015 hatukusikia hata mkiliwaza baada ya kumpitisha lowassa.
Nyie ni wanafiki wakubwa.
Mmeshafikisha 20%? Wiki mbili nyuma mlikuwa mnaongelea 5%!!Maskini! Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura sasa sijui huo ushindi ni wa wapi mnaoungelea
Wanasubiri elfu kumi kumi zao wasepe wapitie kilo tano za sembe wakalale nazo mbele hawana hamu hapoKalale weweView attachment 1571578
Linganisha hao na wa silinde utwabie, na huo wa kwenu mmepiga picha ya chiniWale akinadada wapumbavu YEHODAYA, Joanabaptist na dada Wakudadavuwa watasema picha za wakati wa Lowassa hizo!
Subiri October 28 utajua tunaenda wapi na Magufuli.Mnataka mwende wapi na fisadi magufuli mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?
Hawa ni wapiga kura wenye kadi nyie endeleeni kujidanganya na hao chokoraa wavuta bhangi na majizi ambao hawana muda wa kujiandikisha na akijiandikisha kadi hatunzi na akitunza haitatumika kwa uchakavu tena huko boda ndio balaa wengi hawana kadi ila muendelee kuwazarau wazee,wamama , mabibi na wanavijiji wanaobebwa ambao ni wengi kuliko hao waliojitokeza,tunduma ina wakazi wasiopungua laki moja hao waliopo hapo hata 10000 hawafiki jiulize wale mabibi,wamama na mababu wako kiasi gani jumlisha vijana wanaojitambua kazi mnayo chadema mtashinda tu kizazi cha mkapa kitakapoisha.Nimsema mafuso, wewe eweka fuso tuView attachment 1571560View attachment 1571561View attachment 1571562View attachment 1571563View attachment 1571564
Hii itakuw ani cristapenSindano imeingia penyewe tulia dawa iingieView attachment 1571580
Wa tunduma atakusanya hadi wakazi wa msumbiji ili kujibu mapigo ya Lissu. Mzee hashindwi kuwekeza pesa nyingi mradi tu TAL asimzidi keteMh JPM akipiga kambi hapo Tunduma mtashangaa umati mkubwa wa ajabu.. Subirini, sisemi Lissu hajapata watu leo, ila wa kwetu CCM utapita huo
Na mtesajiMnataka mwende wapi na fisadi magufuli mharibifu wa uchumi wa nchi na watu wake?
Aisee.
Si mmesema jpm atapata 95% sasa mbona unasema Lissu hawezi kupata 18%.Lissu hawezi kupata more than 18 per cent