Uchaguzi 2020 Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu katika mji wa Tunduma

T 2020 TAL ..huyu ndo chaguo la watanzania ..huyo mwingine kasha chemsha tayari
Lissu size yake ni ubunge tu urais hatuwezi kumpa watanzania tupo bega kwa bega na Magufuli.

Cheki nyomi iyo tena hapo ni njiani wananchi wamejitokeza kumpokea Rais wao kipenzi.
20200910_140518.jpg
 
Tbc imekuwa genge la wahuni sii tena mali ya umma, haiingii akilini mkutano mkubwa kama huu usiwekwe mbashara, wako bize na ujinga.
Inatia hasira kwa kweli, hawa ndio kama una hand granade, unaenda kuwatupia ofisini kabisa.
 
Mji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa Maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo na vifijo

Ni shangwe Tunduma haijawahi kutokea mapokezi ya kiongozi mkubwa wa chama Cha aina yoyote ile kutokea tangu miongo kadhaa iliyopita ..
Masifa ndo mnayo kumbe hamna kitu.
 
Mji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa Maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo na vifijo

Ni shangwe Tunduma haijawahi kutokea mapokezi ya kiongozi mkubwa wa chama Cha aina yoyote ile kutokea tangu miongo kadhaa iliyopita ..
Ushabiki ulioje, hukuona 2015 lowasa kila alipokwenda. Jiandae kisaikolojia maana Oct ni Magufuli tena.
 
Only NEC ndio wanaweza kuwaokoa ccm hapo 28 octoba. Njia nii nyeupe kwa Lissu na Chadema.

Ni Yeye2020
Uko sahihi,ila shida iliyopo nikwamba wakati wa kujiandikisha kulikuwa kama na kahamasa kakuigomea NEC watu kutojitokeza kujiandikisha na mitandaoni hata hapa Jeiefu, tulikuwa tunafurahia wale waandikishaji wakiwa wanasinzia tu vituoni,huoni kama hapo ndiyo sisiemu wanaposhinda kirahisi kwa kuwa kamtaji?

Na kutokana na wimbi lile la hamahama la wabunge wa upinzani wengi pia hawa kutaka kujiandikisha kwa kudai kupoteza muda tu,huoni huu umati unaweza kuwa mkubwa ila vichinjio hawana?

Ngoja tuone mwisho wake
 
Mji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa Maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo na vifijo

Ni shangwe Tunduma haijawahi kutokea mapokezi ya kiongozi mkubwa wa chama Cha aina yoyote ile kutokea tangu miongo kadhaa iliyopita ..
Hao Silinde mwenyewe anajaza wakati ninyi ni mkutano wa mgombea uraisi.
 
Tundu Lissu wapeleke mchaka mchaka , wapeleke kikamanda mchaka mchaka
Mtu wa mchakamchaka anadondoka mwenyewe?
Huyo sasa amekuwa kama marehemu Mugabe, anatembea na watu wenye mafunzo ya kudaka mtu wa kuanguka.
 
Ha ha ha ha ha si wale walioenda kumpa ukweli Bwashee kuwa hawampi kura au ipi tena hyo. Mkuu Tundu kasema ataenda kule kuongea nao ili baada ya oktoba 28 akawakombolee watu wao. Ni mwendo wa Mpela Mpela wala hakuna kutema mate wala kuchimba dawa
Watu mnajidanganya Sana, mpaka sasa hakuna chama cha kuishinda CCM hii ya Magufuli. Mnajifariji bure, Lissu hata kura alizowahi pata lowasa hatapata. CCM babalao. JPM tangu aanze kampeni ni mwendo wa nyomi mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom