Acha story katika mambo serious. Hao wapiga kura wa CCM unaowaongelea ni hao wanazururishwa kwenye maroli? Unajiona wewe ndiyo bonge la mgunduzi kwamba hao siyo wapiga kura?Hahahaa Hivi Siasa Unaijua wewe Wenzenu CCM wanawapiga Kura nyie mnamashabiki Lowassa aliondoka na Asilimia zake 30 kazirudishwa CCM so mwaka huu mkipata 20% mshukuru sana asee Maana CCM itawapiga kichapo cha mbwa koko
Lissu anapoteza muda tu hawezi kumshinda Rais Magufuli tena akipata kura laki tano tu akachinje ng'ombe.Mji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa Maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo na vifijo
Ni shangwe Tunduma haijawahi kutokea mapokezi ya kiongozi mkubwa wa chama Cha aina yoyote ile kutokea tangu miongo kadhaa iliyopita ..
Aiseee !!Mapokezi yake yalivokua jioni hii
Endelea kuota hvyo hvyo, hzo 20% ndo za magufuri c umeona yalimkuta bukoba leo??Mwache Lisu aendelee kupigania 20 % yake
ahahhahaa sasa hivi mepoa hadi meishiwa na maneno kilicho baki nikutoa tu wito,kuwakatisha shauri na kuwabatiza kwa jina la LisuLisu anapiga misele huko tu.
Watanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu tutamchagua Magufuli uyo Lissu wenu atasoma namba vizuri.Only NEC ndio wanaweza kuwaokoa ccm hapo 28 octoba. Njia nii nyeupe kwa Lissu na Chadema.
Ni Yeye2020
T 2020 TAL ..huyu ndo chaguo la watanzania ..huyo mwingine kasha chemsha tayariWatanzania wenye mapenzi mema na nchi yetu tutamchagua Magufuli uyo Lissu wenu atasoma namba vizuri.
Hongereni sana wana wa Tunduma kwa kukata minyororo ya utumwaMji mkongwe wa kibiashara uliopo mpakani mwa Zambia na Tanzania ni Kama umetii amri baada ya shughuli zote kusimama huku Maelfu kwa Maelfu ya wapenzi na wanachama wakiendelea kumlaki kwa nderemo na vifijo
Ni shangwe Tunduma haijawahi kutokea mapokezi ya kiongozi mkubwa wa chama Cha aina yoyote ile kutokea tangu miongo kadhaa iliyopita ..
Maaweeee!!!
Bwana yule nasikia anawasweka wanao mpinga kule kwa kina iweeOnly NEC ndio wanaweza kuwaokoa ccm hapo 28 octoba. Njia nii nyeupe kwa Lissu na Chadema.
Ni Yeye2020
Hongereni sana wana wa TundumaKaaah!! Asante Tunduma ulinilea leo nakufurahia!!
Maono yako uchwara yameshashindwa kitambo sana kwa nguvu za MUNGU aliyeiweka nchi hii tangu mwanzo.Nimepata maono Magufuli, Siro, Mkuu wa TBC, Mabeyo, Mkuu wa magereza, Mkuu wa TISS mwenyekiti wa NEC ndg Mahera na yule jamaa afisa nini sijui ambaye ni mweusi na sura mbaya kama breki ya jeneza wa tume mwakani kipindi Kama hiki watakuwa The Hague uholanzi kujibu tuhuma za genocide
Na mafuso ya kutoka chato yapo kibao, kutoka karagwe yapo kibaoUmeiona nyomi ya Kagera lakini?
Ndiyo rais wako huyoLisu anapiga misele huko tu.