Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,859
- 1,301
Watu bado wana hofu, hata hivyo ndani ya ukumbi ni wengi zaidiYaani mmekosa kazi za kufanya watu 20 ndiyo mapokezi yametikisa kweli? rudini tu mkalime siasa imewashinda
Watu bado wana hofu, hata hivyo ndani ya ukumbi ni wengi zaidiYaani mmekosa kazi za kufanya watu 20 ndiyo mapokezi yametikisa kweli? rudini tu mkalime siasa imewashinda
Umeogeza chumvi, Katika hiyo nukuu uliyoweka kutoka gazeti la Mwananchi Mbowe hakutaja nafasi ya uraisi, nanukuuMwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.
Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.
My take.
Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.
Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.
Mbowe: Hatukuwa na wagombea sahihi
Kuanza sasa wanachama wa Chadema watakuwa wakivaa sare za chama hicho kila Jumamosi ikiwa ni mkakati wa kuongeza motisha kwa makada wake wote.www.mwananchi.co.tz