zoom me
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 213
- 49
Siku chache baada ya tume ya taifa ya uchaguzi, NEC kutangaza majimbo mapya 26 ya uchaguzi Tanzania bars, aliyekuwa Mbunge wa mbozi Magharibi, David silinde amewaomba wakazi wa mji wa Tunduma wamkubalie kuachana na jimbo jipya la Tunduma na badala yake akagombee jimbo la Momba ili akaongeze nguvu ya upinzani vijijini.
Siasa ni hisabati ukikosea njia na kanuni huwezi pata jibu sahihi.
Jamaa atasoma ushauri wenu hapa.
Source: ITV blog July 15
Siasa ni hisabati ukikosea njia na kanuni huwezi pata jibu sahihi.
Jamaa atasoma ushauri wenu hapa.
Source: ITV blog July 15