PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 877
- 955
Matukio katika ziara ya mapokezi na utambulisho wa Sekretarieti mpya ya Halmashauri kuu ya @ccm_tanzania Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndugu Daniel Chongolo walipowasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Dar es Salaam leo tarehe 22 Mei 2021.